CCM, yako wapi Maisha Bora mliyoyaahidi kwa watanzania?

CCM, yako wapi Maisha Bora mliyoyaahidi kwa watanzania?

Bavicha kweli tatizo unataka uletewe mifuko ya unga nyumbani kwako na kiroba cha mchele acha uzembe.
 
Mapato gani? Na ni kiasi gani kinaingia? Weka takwimu hapa sio unakurupuka kutoka usingizini unaleta porojo apa
Kaanzishe topic yako kuhusu mapato nami nitakuja kukuwekea takwimu.
 
Wananchi mnaamka saa 4 asubuhi mnaamkia gongo,kwenye bao na vijiweni mda wote mpo kwenye maandamano badala ya kufanya kazi kweli maisha bora yatapatikana kwa style hii.
 
Kwani hamjui kuwa nchi ishauzwa? Dhahabu, Almasi, Uranium, Gesi, Power production and distribution wanamiliki wanunuzi na wamiliki halali wa Ardhi ya Tanzania....Mimi nafuatilia mgao wangu ila sijui pa kuanzia...CCM zaidi ya Saratani...
 
Madahara ya kukubali t-shirt na ubwabwa wakati wa uchaguzi na kuuza kura yako. kupanga ni kuchagua.
 
Back
Top Bottom