Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Nyimbo Hizi Nazikumbuka Tuliimba sabahu tulizikuta tukaimbishwa huku hatujui anayejenga nchi ni nani
Tokea Nchi imeanzwa kujengwa na sasa inatimiza Miaka hamsini bado haijaisha nadhani hata makao makuu ya Magereza Ohio Street yanaweza kuwa ni kati ya majengo machache yaliyojengwa kwa Muda mrefu sana i mean Miaka mingi sana hadi kukamilika nadhani walianza kujenga miaka ya 80s na 2011 ndio lipo ukingoni kuisha sijui kama hiyo finishing itamalizika lini Shukrani wahindi wanaomalizia... Jengo limejengwa hadi na Wafungwa..
Kuna mambo mengi yanayocheleweshwa kujenga nchi aidha kwa uzembe au watu wamekula pesa za bajeti so wanasubilia bajeti ya mwaka unaofuatia wale kidogo kisha wajenge kidogo, barabara zetu zimejaa mashomo yanasababisha magari yetu kuharibika hasara zinaenda kwa wananchi bora magari pikipiki ndizo zinaathirika zaidi na mashimo ya barabarani na kutishia maisha ya watumiaji.
hakuna fungu la ukarabati wa barabara zetu au ndio ufisadi na viongozi hawana uoga kwani ni wanachama wa magamba hawatawajibishwa sera kulindana na hakuna msafi wa kumnyooshea mwenzake kidole.
Airport yetu ni chafu imejaa vibada vya ovyo ovyo, haieleweki! office za ajabu zipo sehemu za abiria na wasindikizaji zimebana
katika siku za furaha enzi za Mwalimu, ilikuwa kwenda kutembelea airport DSM summit unatizama ndege za aina aina zikitua na kupaa kule juu hadi maharusi walikuwa wakienda kujifurahisha. yasikitisha hali ya sasa hatujui tunaenda mbele au nyuma. we need change before change changes us.
Kikwete turejeshee nchi yetu mapema kama uraisi ndio ulikuwa unautaka ushaupata najua au watu wanasema ni maamuzi magumu mi sioni ugumu wowote fanya uweke nchi irejee na heshima yake naomba japo tu hapo airport me huwa nasikia kinyaa jinsi palivyo.
Wajisikia vipi nchi ikiwa katika hali hii kila raia anahuzuni na nchi yake munung'uniko inazidi kuwa mingi hadi wakupendao hali zao za ushabiki zinawashinda sikuhizi muondoe ngeleja umeme unachukiza wengi kashindwa vitendo ila kwa maneno yupo mzuri Umeme Tanzania itakuwa historia damn! bul shait!
Maji salama umeshindwa, barabara umeshindwa kwa pesa zetu so zinajengwa kwa misaada ya nje ambayo itatugharimu baadae kudhibiti wezi wakubwa wanaosababisha hali duni no actions dah! me nimechoka nitakuja siku nyingine nimalizie
Tokea Nchi imeanzwa kujengwa na sasa inatimiza Miaka hamsini bado haijaisha nadhani hata makao makuu ya Magereza Ohio Street yanaweza kuwa ni kati ya majengo machache yaliyojengwa kwa Muda mrefu sana i mean Miaka mingi sana hadi kukamilika nadhani walianza kujenga miaka ya 80s na 2011 ndio lipo ukingoni kuisha sijui kama hiyo finishing itamalizika lini Shukrani wahindi wanaomalizia... Jengo limejengwa hadi na Wafungwa..
Kuna mambo mengi yanayocheleweshwa kujenga nchi aidha kwa uzembe au watu wamekula pesa za bajeti so wanasubilia bajeti ya mwaka unaofuatia wale kidogo kisha wajenge kidogo, barabara zetu zimejaa mashomo yanasababisha magari yetu kuharibika hasara zinaenda kwa wananchi bora magari pikipiki ndizo zinaathirika zaidi na mashimo ya barabarani na kutishia maisha ya watumiaji.
hakuna fungu la ukarabati wa barabara zetu au ndio ufisadi na viongozi hawana uoga kwani ni wanachama wa magamba hawatawajibishwa sera kulindana na hakuna msafi wa kumnyooshea mwenzake kidole.
Airport yetu ni chafu imejaa vibada vya ovyo ovyo, haieleweki! office za ajabu zipo sehemu za abiria na wasindikizaji zimebana
katika siku za furaha enzi za Mwalimu, ilikuwa kwenda kutembelea airport DSM summit unatizama ndege za aina aina zikitua na kupaa kule juu hadi maharusi walikuwa wakienda kujifurahisha. yasikitisha hali ya sasa hatujui tunaenda mbele au nyuma. we need change before change changes us.
Kikwete turejeshee nchi yetu mapema kama uraisi ndio ulikuwa unautaka ushaupata najua au watu wanasema ni maamuzi magumu mi sioni ugumu wowote fanya uweke nchi irejee na heshima yake naomba japo tu hapo airport me huwa nasikia kinyaa jinsi palivyo.
Wajisikia vipi nchi ikiwa katika hali hii kila raia anahuzuni na nchi yake munung'uniko inazidi kuwa mingi hadi wakupendao hali zao za ushabiki zinawashinda sikuhizi muondoe ngeleja umeme unachukiza wengi kashindwa vitendo ila kwa maneno yupo mzuri Umeme Tanzania itakuwa historia damn! bul shait!
Maji salama umeshindwa, barabara umeshindwa kwa pesa zetu so zinajengwa kwa misaada ya nje ambayo itatugharimu baadae kudhibiti wezi wakubwa wanaosababisha hali duni no actions dah! me nimechoka nitakuja siku nyingine nimalizie