CCM yaiweka mfukoni CHADEMA

CCM yaiweka mfukoni CHADEMA

Ndugu zangu Watanzania,

Nilishawaambieni humu jukwaani kuwa ukongwe wa CCM na uwepo wake madarakani mpaka leo hii unatokana na uimara wake,mfumo wake imara katika kujiendesha kitaasisi, pamoja na kujaa na kusheheni kwa manguli wa sayansi ya siasa ndani ya chama hicho wenye uwezo wa kuvianzishia Ajenda vyama vya upinzani na kuvifanya muda wote vibakie na kuendelea kuwa vipaza sauti wa CCM na mambo yake.

Embu angalia mfano kete na karata iliyochezwa kwa sasa ya kumleta Makonda wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwakani pamoja na ule wa 2025. Sasa chadema nzima kuanzia ngazi ya msingi mpaka Taifa wamebaki kuwa watoa na waeneza taarifa za Makonda na hotuba zake.kila mmoja ndani ya CHADEMA anajitahidi kuwa wa kwanza kuripoti habari za Makonda.

Angalia hata humu jukwaani tu namna mada mbalimbali zinazomhusu Makonda namna zilivyoteka jukwaa lote na kila ukurasa unakuta habari za Makonda na CCM tu.viongozi na wanachadema kwa ujumla wao wanafanya mashindano ya kuwa wa kwanza kuripoti habari za Makonda na CCM juu ya maagizo ya chama kwa serikali katika utekelezaji wa ilani yake, ili kuhakikisha kuwa watanzania wanapata huduma bora na stahiki bila ubaguzi wa aina yoyote ile.

Ukija mitaani ndio kabisaaaa unakuta ni Makonda tu na CCM Ndio wameteka mijadala yote ya kisiasa.ukienda kwenye vyombo vya habari,magazeti,TVs,magari,vijiwe vya kawaha, boda boda,bajaji unakuta ni habari za CCM na Makonda wake kwa namna alivyoleta mchakamchaka na matumaini kwa wanyonge kusikilizwa na kuhudumiwa vizuri.kila mtu anashauku yakutaka kumuona Makonda na kumsikiliza juu ya kile serikali yao imefanya na inakwenda kufanya.

Matokeo yake ni kuwa kwa sasa husikii habari za CHADEMA zikizungumzwa popote pale maana hata wanaotakiwa kuzisema na kuziandika wapo Bize kuripoti habari za CCM na Makonda komandoo wa vita vya ardhini. Wapo Bize kwelikweli na hawakauki wala kutulia.

Hiyo ndio maana ya chama cha siasa kinachoijuwa siasa na namna ya kucheza na akili za watu na kuwepo midomoni, barabarani, mitaani,majukwaani na kila eneo lenye mkusanyiko wa watu.kwa sasa CCM ipo kila eneo na inazungumzwa kwa mema kila sehemu na kusambazwa habari zake na kila mtu bila kujali itikadi za kisiasa kwa kutumia watu mbalimbali wakiwepo wapinzani ambao nao sasa wapo na kibarua cha kuisemea CCM,kuitangaza na kuinadi kila dakika.

Sasa CHADEMA ipo mfukoni mwa CCM na haionekani popote pale wala kusikika kwa kuwa hakuna anayeweza kuona kitu kilichomfukoni ikiwa hakijatolewa na aliyekiweka. Hii imeonyesha nguvu ya CCM kimikakati,kimipango, kijasusi, kisayansi,kimbinu na kimaono.

Hakuna chama chenye uwezo wa kuitikisa CCM Katika nchi hii,hakuna mtu wala kikundi chenye uwezo wa aina yoyote kwa misingi ya aina yoyote chenye uwezo wa kuisumbua CCM hiii ya Rais Samia.ndio maana Inaendelea kusalia madarakani na kuchaguliwa kila uchaguzi kwa Kishindoo kikuu,.hii inatokana na ukweli kuwa vyama vya upinzani vya hapa nchini ni vyama visivyo na ajenda wala sera za kugusa maisha ya watu, havina maono wala Dira wala kitu ambacho kinamgusa mtanzania mpaka aone umuhimu wa kuviunga mkono vyama vya upinzani.

Kila mtanzania anaona vyama vya upinzani ni mkusanyiko wa wasaka tonge,wachumia tumbo,watu wasio na malengo mahususi kwa ustawi wa Taifa letu.ndio maana hakuna aliye tayari kuwaunga mkono upinzani .ndio maana hata matamko yao au maazimio yao huwa yanapuuzwa na watanzania.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.

Kwa sasa CCM kupambana na chadema ni kama mtu hai kupambana na mtu mfu,

Yan hata ww kada wa ccm kuja hapa na hoja za chadema ni kupoteza bando lako Tu

Chadema hawana kitu chochote,

Hawana diwani wala katibu wa Kaya

I think ccm mlitakiwa kupambana na maendeleo ya uhalisia kuliko maendeleo ya maandishi

Hakuna chama cha upinzani tanzania ila kuna baadhi ya watu flan ambao wanaongea mambo ambayo hayako sawa ya serikali
 
Ukiambiwa wewe ni mwanapropaganda wa ccm uwe unajielewa na acha tabia ya kuona wengine wana ufahamu mdogo juu ya unachokiandika. Hali halisi ya siasa nchini inajulikana na inaonekana, wananchi wana shauku na mabadiliko ya kisiasa na ccm wanalijua hilo na wanaogopa kuanguka anguko la aibu duniani, hivyo basi hufanya kila aina ya mbinu kubaki madarakani kila uchaguzi. Hebu ifanye uchaguzi wa haki na wazi uone kama itapata kura nyingi. Kwa kifupi ni kwamba hakujawahi kuwa na uwanja wa kisiasa ulio sawa kwa vyama vyote kufanya siasa zake kwa wananchi tangu vyama vingi vianzishwe. Hii ccm si nzuri sana kuliko vyama vingine vya afrika vilivyoleta uhuru na sasa havipo madarakani na vingine vimesambaratika kabisa. Kuongelewa kwa makonda na ccm vijiweni si kwa chanya bali ni kwa hasi. We ukijua A wenzako wanajua B, C. D..., Unachaoandika ni abrakadabra za kisiasa tu na unapaswa kujibiwa kwa mtindo huohuo ulioutumia kuandika
 
Hata ije katiba mpya au Tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu,kwa kuwa CCM hupita na kuchaguliwa kwa kishindo kutokana na ubora wa sera ajenda zake zenye kugusa maisha ya watanzania.kuwa na ilani yenye kubeba mambo yenye kugusa mahitaji ya makundi yote na kuendana na wakati.lakini pia utekelezaji wake wa ilani umekuwa ni wakiwango kikubwa na chenye kutia matumaini. lakini vyama kama CHADEMA havina uwezo hata wa kuandaa tu ilani yake au mgombea Urais tu,ukitaka uamini hili angalia kilichotokea 2015 ndio utajuwa kuwa nchini hatuna vyama vya upinzani zaidi ya wasaka tonge na wachumia tumbo tu.


Ni kweli Sera zake ni mzuri

Hasa hasa hii ya kuanza kulipa wake za viongozi
 
Hivi haya magazeti unayojaza humu ambayo hayana maudhui zaidi ya kudhihirisha ujinga wako huoni kuwa hiyo ni laana. Yaani 24/7 unapinda mgongo kusifia watu ambao hawana muda na wewe hiyo ni laana.
Kwa akili yako kizibo huwezi ukaelewa kitu chochote. Ni mpaka utakapo pewa tiba stahiki ya matatizo yako ya akili.
 
Ukiambiwa wewe ni mwanapropaganda wa ccm uwe unajielewa na acha tabia ya kuona wengine wana ufahamu mdogo juu ya unachokiandika. Hali halisi ya siasa nchini inajulikana na inaonekana, wananchi wana shauku na mabadiliko ya kisiasa na ccm wanalijua hilo na wanaogopa kuanguka anguko la aibu duniani, hivyo basi hufanya kila aina ya mbinu kubaki madarakani kila uchaguzi. Hebu ifanye uchaguzi wa haki na wazi uone kama itapata kura nyingi. Kwa kifupi ni kwamba hakujawahi kuwa na uwanja wa kisiasa ulio sawa kwa vyama vyote kufanya siasa zake kwa wananchi tangu vyama vingi vianzishwe. Hii ccm si nzuri sana kuliko vyama vingine vya afrika vilivyoleta uhuru na sasa havipo madarakani na vingine vimesambaratika kabisa. Kuongelewa kwa makonda na ccm vijiweni si kwa chanya bali ni kwa hasi. We ukijua A wenzako wanajua B, C. D..., Unachaoandika ni abrakadabra za kisiasa tu na unapaswa kujibiwa kwa mtindo huohuo ulioutumia kuandika
Ubora wa sera na ajenda za CCM zenye kugusa maisha ya watu na kuleta matokeo chanya imekuwa chachu ya kuifanya CCM Kuendelea kusalia madarakani na kuchaguliwa katika kila uchaguzi kwa kishindo. Vyama vya upinzani kama CHADEMA havina uwezo hata wa kuandaa ilani yake au mgombea urais tu kama tulivyoona 2015,sasa mtanzania yupi mwenye akili Timamu anayeweza kuwapigia kura na kuwaamini upinzani wa nchi hii? Nani awape kura watu wasioweza hata kuwa na sera au ajenda zenye kugusa maisha ya watu?
 
Kwa sasa CCM kupambana na chadema ni kama mtu hai kupambana na mtu mfu,

Yan hata ww kada wa ccm kuja hapa na hoja za chadema ni kupoteza bando lako Tu

Chadema hawana kitu chochote,

Hawana diwani wala katibu wa Kaya

I think ccm mlitakiwa kupambana na maendeleo ya uhalisia kuliko maendeleo ya maandishi

Hakuna chama cha upinzani tanzania ila kuna baadhi ya watu flan ambao wanaongea mambo ambayo hayako sawa ya serikali
Kama ni maendeleo CCM imepeleka kila Sehemu,ndio maana unaona miradi ikiendelea kuchipuka kila siku na kila mahali.ndio maana Inaendelea kuaminika ,kukubalika ,kupendwa na kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania.imejenga vyumba vya madarasa zaidi ya elfu ishirini na mwaka huu tena inajenga vingine Elfu moja,vituo vya afya kila kona vimejengwa, miundombinu ya barabara Inaendelea kujengwa na mengine mengi tu
 
Kama ni maendeleo CCM imepeleka kila Sehemu,ndio maana unaona miradi ikiendelea kuchipuka kila siku na kila mahali.ndio maana Inaendelea kuaminika ,kukubalika ,kupendwa na kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania.imejenga vyumba vya madarasa zaidi ya elfu ishirini na mwaka huu tena inajenga vingine Elfu moja,vituo vya afya kila kona vimejengwa, miundombinu ya barabara Inaendelea kujengwa na mengine mengi tu

Haha ha ha 😂😂
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nilishawaambieni humu jukwaani kuwa ukongwe wa CCM na uwepo wake madarakani mpaka leo hii unatokana na uimara wake,mfumo wake imara katika kujiendesha kitaasisi, pamoja na kujaa na kusheheni kwa manguli wa sayansi ya siasa ndani ya chama hicho wenye uwezo wa kuvianzishia Ajenda vyama vya upinzani na kuvifanya muda wote vibakie na kuendelea kuwa vipaza sauti wa CCM na mambo yake.

Embu angalia mfano kete na karata iliyochezwa kwa sasa ya kumleta Makonda wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwakani pamoja na ule wa 2025. Sasa chadema nzima kuanzia ngazi ya msingi mpaka Taifa wamebaki kuwa watoa na waeneza taarifa za Makonda na hotuba zake.kila mmoja ndani ya CHADEMA anajitahidi kuwa wa kwanza kuripoti habari za Makonda.

Angalia hata humu jukwaani tu namna mada mbalimbali zinazomhusu Makonda namna zilivyoteka jukwaa lote na kila ukurasa unakuta habari za Makonda na CCM tu.viongozi na wanachadema kwa ujumla wao wanafanya mashindano ya kuwa wa kwanza kuripoti habari za Makonda na CCM juu ya maagizo ya chama kwa serikali katika utekelezaji wa ilani yake, ili kuhakikisha kuwa watanzania wanapata huduma bora na stahiki bila ubaguzi wa aina yoyote ile.

Ukija mitaani ndio kabisaaaa unakuta ni Makonda tu na CCM Ndio wameteka mijadala yote ya kisiasa.ukienda kwenye vyombo vya habari,magazeti,TVs,magari,vijiwe vya kawaha, boda boda,bajaji unakuta ni habari za CCM na Makonda wake kwa namna alivyoleta mchakamchaka na matumaini kwa wanyonge kusikilizwa na kuhudumiwa vizuri.kila mtu anashauku yakutaka kumuona Makonda na kumsikiliza juu ya kile serikali yao imefanya na inakwenda kufanya.

Matokeo yake ni kuwa kwa sasa husikii habari za CHADEMA zikizungumzwa popote pale maana hata wanaotakiwa kuzisema na kuziandika wapo Bize kuripoti habari za CCM na Makonda komandoo wa vita vya ardhini. Wapo Bize kwelikweli na hawakauki wala kutulia.

Hiyo ndio maana ya chama cha siasa kinachoijuwa siasa na namna ya kucheza na akili za watu na kuwepo midomoni, barabarani, mitaani,majukwaani na kila eneo lenye mkusanyiko wa watu.kwa sasa CCM ipo kila eneo na inazungumzwa kwa mema kila sehemu na kusambazwa habari zake na kila mtu bila kujali itikadi za kisiasa kwa kutumia watu mbalimbali wakiwepo wapinzani ambao nao sasa wapo na kibarua cha kuisemea CCM,kuitangaza na kuinadi kila dakika.

Sasa CHADEMA ipo mfukoni mwa CCM na haionekani popote pale wala kusikika kwa kuwa hakuna anayeweza kuona kitu kilichomfukoni ikiwa hakijatolewa na aliyekiweka. Hii imeonyesha nguvu ya CCM kimikakati,kimipango, kijasusi, kisayansi,kimbinu na kimaono.

Hakuna chama chenye uwezo wa kuitikisa CCM Katika nchi hii,hakuna mtu wala kikundi chenye uwezo wa aina yoyote kwa misingi ya aina yoyote chenye uwezo wa kuisumbua CCM hiii ya Rais Samia.ndio maana Inaendelea kusalia madarakani na kuchaguliwa kila uchaguzi kwa Kishindoo kikuu,.hii inatokana na ukweli kuwa vyama vya upinzani vya hapa nchini ni vyama visivyo na ajenda wala sera za kugusa maisha ya watu, havina maono wala Dira wala kitu ambacho kinamgusa mtanzania mpaka aone umuhimu wa kuviunga mkono vyama vya upinzani.

Kila mtanzania anaona vyama vya upinzani ni mkusanyiko wa wasaka tonge,wachumia tumbo,watu wasio na malengo mahususi kwa ustawi wa Taifa letu.ndio maana hakuna aliye tayari kuwaunga mkono upinzani .ndio maana hata matamko yao au maazimio yao huwa yanapuuzwa na watanzania.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Fedha inazotoa serikali ni kodi za Watanzania wote kwa maana kwamba hata mimi ambaye sijafika Hanang tayari nimeshatoa.

Fedha na misaada waliotoa CCM (ijapo sina hakika km wametoa) ni zile wanazoiba kutoka kwa Watanzania kupitia Serikal ya chama hicho.
 
Embu angalia mfano kete na karata iliyochezwa kwa sasa ya kumleta Makonda wakati huu wa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwakani pamoja na ule wa 2025. Sasa chadema nzima kuanzia ngazi ya msingi mpaka Taifa wamebaki kuwa watoa na waeneza taarifa za Makonda na hotuba zake.kila mmoja ndani ya CHADEMA anajitahidi kuwa wa kwanza kuripoti habari za Makonda.
Ungekuwa na akili timamu usingeandika huu ushuzi!
Hivi makonda ni nani ukilinganisha na makamanda wa CDM?
Historia ya makonda inajulikana wazi mno! Ni suala la muda tu.

RIP Ben
 
Back
Top Bottom