Inatokea unakuwa na matumaini kwamba utalifikisha mdomoni, unaliangalia kmwa kulitamani na matumaini, unauandaa mdomo vizuri, ile unakaribia tu, linadondoka na hulipati tena.
Ndivyo cdm ilivyo na matumaini, ikiamini kuwa ccm imekufa, ghafla wanashangaa CCM inawanachama kibaooo, na ushindi majimbo yote na Rais juu.