CCM yaigaragaza tena CHADEMA

CCM yaigaragaza tena CHADEMA

TandaleOne

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2010
Posts
1,644
Reaction score
709
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka kidedea katika nafasi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Tarime, baada ya Daudi Wangwe kushinda nafasi hiyo.

Wangwe alipata kura 24 zilizopigwa na kumshinda mpinzani wake Charles Ndessi kutoka CHADEMA, ambaye aliambulia kura moja.
Uchaguzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa halmashauri chini ya uenyekiti wake Amos Sagara.

Katika Uchaguzi huo madiwani wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao wa mkoa, Mwikabe Machage, waliazimia kuondoka ndani ya kikao.

Pamoja na Uchaguzi kikao hicho kiliunda Kamati mbili, zikiwemo za kusimamia, kugawana mali na kuwachagua pia madiwani wa chama hicho cha chadema katika kamati hizo.

Wajumbe wa kamati hizo ni Godfrey Masubo (CCM) Christopher Christopher Chomete (chadema) na wengine katika kamati nyingine ni Amos Sagara (CCM) marwa Kisyeri (CCM) Mustapha Masian (Chadema) na Mwera wa CUF.
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka kidedea katika nafasi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Tarime, baada ya Daudi Wangwe kushinda nafasi hiyo.

Wangwe alipata kura 24 zilizopigwa na kumshinda mpinzani wake Charles Ndessi kutoka CHADEMA, ambaye aliambulia kura moja.
Uchaguzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa halmashauri chini ya uenyekiti wake Amos Sagara.

Katika Uchaguzi huo madiwani wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao wa mkoa, Mwikabe Machage, waliazimia kuondoka ndani ya kikao.

Pamoja na Uchaguzi kikao hicho kiliunda Kamati mbili, zikiwemo za kusimamia, kugawana mali na kuwachagua pia madiwani wa chama hicho cha chadema katika kamati hizo.

Wajumbe wa kamati hizo ni Godfrey Masubo (CCM) Christopher Christopher Chomete (chadema) na wengine katika kamati nyingine ni Amos Sagara (CCM) marwa Kisyeri (CCM) Mustapha Masian (Chadema) na Mwera wa CUF.

kwahiyo tufanyeje?
 
chama cha mapinduzi (ccm) kimeibuka kidedea katika nafasi ya mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa tarime, baada ya daudi wangwe kushinda nafasi hiyo.

Wangwe alipata kura 24 zilizopigwa na kumshinda mpinzani wake charles ndessi kutoka chadema, ambaye aliambulia kura moja.
Uchaguzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa halmashauri chini ya uenyekiti wake amos sagara.

Katika uchaguzi huo madiwani wa chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao wa mkoa, mwikabe machage, waliazimia kuondoka ndani ya kikao.

Pamoja na uchaguzi kikao hicho kiliunda kamati mbili, zikiwemo za kusimamia, kugawana mali na kuwachagua pia madiwani wa chama hicho cha chadema katika kamati hizo.

Wajumbe wa kamati hizo ni godfrey masubo (ccm) christopher christopher chomete (chadema) na wengine katika kamati nyingine ni amos sagara (ccm) marwa kisyeri (ccm) mustapha masian (chadema) na mwera wa cuf.

nchi gani?
 
Umelogwa mbona umeandika kama vile unakimbizwa???
 
Mleta hii mada ni kama amerukishwa KEHOLE na kupata laana maana hajui anachoelezea hapa jf. Afanyiwe Maombezi ili aepukane na laaana ya kuandika asicho kijua.
 
Huu si ni uchaguzi ambao madiwani wa chadema hawakushiriki kutokana na taratibu kutokufuatwa akina NNape munafurahi leo lakini dhuluma munayofanya itakuja kuwarudia punde
 
Anataka kuhalalisha kuwa uchaguzi ulifanyika!
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka kidedea katika nafasi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Tarime, baada ya Daudi Wangwe kushinda nafasi hiyo.

Wangwe alipata kura 24 zilizopigwa na kumshinda mpinzani wake Charles Ndessi kutoka CHADEMA, ambaye aliambulia kura moja.
Uchaguzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa halmashauri chini ya uenyekiti wake Amos Sagara.

Katika Uchaguzi huo madiwani wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao wa mkoa, Mwikabe Machage, waliazimia kuondoka ndani ya kikao.

Pamoja na Uchaguzi kikao hicho kiliunda Kamati mbili, zikiwemo za kusimamia, kugawana mali na kuwachagua pia madiwani wa chama hicho cha chadema katika kamati hizo.

Wajumbe wa kamati hizo ni Godfrey Masubo (CCM) Christopher Christopher Chomete (chadema) na wengine katika kamati nyingine ni Amos Sagara (CCM) marwa Kisyeri (CCM) Mustapha Masian (Chadema) na Mwera wa CUF.

kichwa cha habari kingekuwa MADIWANI WA CHADEMA WAGOMEA UCHAGUZI CCM WAPATA USHINDI WA MEZANI. nilitaka kushangaa marehemu anawezaje kumzaba kibao daktari uuuuullllaaaaaa!!!!!!!
 
mleta mada hii,alikuwa bado hajaswaki,maana ni kama amekurupuka tu kuandika bila kuuliza moyo wake na Akili pia,tumsamehe bure.
 
pole sana ndugu kwa kujipa moyo . eti cdm imegalagazwa wemwenyewe ume sema madiwani wa cdm walitoka nje, mbona arusha umuzungumzia tumia akili]
 
Sikujua una upungufu wa akili kiasi hicho. Wewe mwenyewe unasema madiwani wa Chadema walitoka nje; sasa mmewagalagaza vipi?

Jamaa ana F ya CIVICS kidato cha nne so usishangae sana kuleta huu -----. Ujinga wake ni wa kurithi na pia huenda hakupata malezi ya pande mbili.
 
kumbe na misisiem inashagilia ushindi wa kitoto kama huo
 
Moto wa CHADEMA umeshawaka, unaiteketeza CCM hakuna jakayaeksitingwisha ya kuuzima! Its too late to protect!
 
Back
Top Bottom