mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,731
Pia watangulie gerezaniWaanze kukabidhi majengo ya sirikali kwa vyama vinavyokubalika!!!
Pia watangulie gerezaniWaanze kukabidhi majengo ya sirikali kwa vyama vinavyokubalika!!!
Ccm byebye! huu pia ni mkutano wa Msigwa iringa
Mkuu kumbuka Mwakalebela anamnyemelea Msigwa kimyakimya!! Ogopa mtu anayekunyemelea kimyakimya!!
Mkutano wa CCM uliofanyika leo kata ya Kigera jimbo la Musoma Mjini,CCM wamejikuta wakiambulia patupu kwa kupata idadi ya watu wasiozidi 60 mbali na kwamba kila mtu aliyekuwa anaudhuria mkutano huo alilipwa elfu kumi.
Baada ya mkutano kuanza na Mathayo kupanda jukwaani kuanza kuhutubia watu walimzomea na mkutano ukasimama kwa muda.
Hii ni ishara tosha inayoonesha anguko la CCM na kama watakuwa bado hawajaelewa basi watakuwa ni sikio la kufa.
Wapinzani ktk CCM na tabia za CCM zinatosha sana mweka mwakalabela busy hadi baada ya 2015.Mkuu kumbuka Mwakalebela anamnyemelea Msigwa kimyakimya!! Ogopa mtu anayekunyemelea kimyakimya!!
,kwanza nikiri kikwete ameshusha hadhi ya uraisi itafikia kipindi hata jiwe litataka uraisi.Katibu mzima Wa wilaya anasema Rais Haji Mara kwa kuwa hamkumpa kura,kweli ccm imekosa wazungumzaji
Katibu mzima Wa wilaya anasema Rais Haji Mara kwa kuwa hamkumpa kura,kweli ccm imekosa wazungumzaji
ajira kubwa iliyobaki kwa Wana CCM ni unafikiChopa tatu .........!
22/6!