Mkutano wa CCM uliofanyika leo kata ya Kigera jimbo la Musoma Mjini,CCM wamejikuta wakiambulia patupu kwa kupata idadi ya watu wasiozidi 60 mbali na kwamba kila mtu aliyekuwa anaudhuria mkutano huo alilipwa elfu kumi.
Baada ya mkutano kuanza na Mathayo kupanda jukwaani kuanza kuhutubia watu walimzomea na mkutano ukasimama kwa muda.
Hii ni ishara tosha inayoonesha anguko la CCM na kama watakuwa bado hawajaelewa basi watakuwa ni sikio la kufa.
Baada ya mkutano kuanza na Mathayo kupanda jukwaani kuanza kuhutubia watu walimzomea na mkutano ukasimama kwa muda.
Hii ni ishara tosha inayoonesha anguko la CCM na kama watakuwa bado hawajaelewa basi watakuwa ni sikio la kufa.