OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Sasa wewe umeleta hii topic ijadiliwe na tayari umeshaonyesha prejudice. You ostensibly seems to be skeptical about the forum to be launched, but in reality you have personal grudges against the lady. I am afraid this is not the right platform for slandering other's personalities.
Sasa wewe umeleta hii topic ijadiliwe na tayari umeshaonyesha prejudice. You ostensibly seems to be skeptical about the forum to be launched, but in reality you have personal grudges against the lady. I am afraid this is not the right platform for slandering other's personalities.
Sasa wewe umeleta hii topic ijadiliwe na tayari umeshaonyesha prejudice. You ostensibly seems to be skeptical about the forum to be launched, but in reality you have personal grudges against the lady. I am afraid this is not the right platform for slandering other's personalities.
Kilichonishangaza ni baada ya kusoma Agenda za Mkutano ktk Gazeti la Mtanzania leo nimeshangaa katibu wa mpango huu ni dada ambae sisi hapa Nipashe alikua haheshimiki na alisimamishwa kazi.
Binafsi hii ninailaani kwakua inaleta Taswira Mbaya na nina Tarajia kuona Editors Forum wanalifanyia kazi kama CCM inatugawa wana Habari ktk Makundi ya Rafiki na Adui ni jambo bay kufanywa na chama kikongwe kama Hiki,nadhani huyu dogo Nape amechanganyikiwa kabisa.
Sasa wewe umeleta hii topic ijadiliwe na tayari umeshaonyesha prejudice. You ostensibly seems to be skeptical about the forum to be launched, but in reality you have personal grudges against the lady. I am afraid this is not the right platform for slandering other's personalities.
Not right for you relax and be free coz you are not bound by the topic.Sasa wewe umeleta hii topic ijadiliwe na tayari umeshaonyesha prejudice. You ostensibly seems to be skeptical about the forum to be launched, but in reality you have personal grudges against the lady. I am afraid this is not the right platform for slandering other's personalities.
Kwa hoja hawataweza kuimaliza jamii forums...labda wajaribu cyber attack....! lakini hata wakijaribu cyber attack itakula kwao ...maana ma hackers tupo fit hapa!Wana Jf
Nimesoma habari ambayo imenistua na imenibidi niongee na Mhariri wa Gazeti la Mtanzani Ndg Jacton Manyerere na amenithibitishia kuwa habari aliyoandika ni ya uhakika.
Idara ya Uenezi na Itikadi ya CCM ambayo ipo Chini ya Ndg Nape imeanzisha Mtandao wa Vyombo vya Habari na wana Habari Rafiki na Bloggers na amekuwa akikutana nao Mara kwa Mara.
Kutokana Taarifa za Gazeti la Mtanzania (Media House ambao si Rafiki na CCM kwa Sasa), media ambazo hazitahudhuria ktk mkutano wa Tar 13 na 14 mwezi huu utakaofanyika Morogoro ni Mwananchi Communication, New Habari, Hali Halisi na Free Media. Vyombo hivi si Rafiki wa CCM.
Na Bwana Jacton ansema doc ya FCCM inaonyesha uwepo wa Mpango Mkakati wa Kuanzisha FORUM itakayoitwa KWETUFORUM na pia utaanzishwa mpango halisi wa kuimaliza Jamii Forums.
Pamoja na mpango huu awali walikua wakutane Dodoma wakati wa kamati kuu na mnamo mwezi wa Tano Nape alifanya kikao makao makuu ya CCM na akakutana Bloggers na kuwaahidi kuwasaidia lakini waisaidie CCM ktk Mkutano huo alikuwepo Blogger mmoja wa Jinsia ya Kike anaeitwa Shamim kutokana na mahudhurio ya kikao hicho.
Kilichonishangaza ni baada ya kusoma Agenda za Mkutano ktk Gazeti la Mtanzania leo nimeshangaa katibu wa mpango huu ni dada ambaye sisi hapa Nipashe alikuwa haheshimiki na alisimamishwa kazi.
Binafsi hii ninailaani kwakua inaleta Taswira Mbaya na ninatarajia kuona Editors Forum wanalifanyia kazi kama CCM inatugawa wana Habari ktk Makundi ya Rafiki na Adui ni jambo baya kufanywa na chama kikongwe kama Hiki. Nadhani huyu dogo Nape amechanganyikiwa kabisa.
Nimeona niilete hapa Jamvini Tulijadili.
Story ipo ukurasa wa kwanza ktk Gazeti la Mtanzania na inaendelea ukurusa wa nane.
nimeicheki hiyo kitu ...aisee! kama forum ya kindergarten!Waanzishe mara ngapi na wakati tayari wanayo forum hii hapa. mapinduzi forum