CCM yabaini mchezo mchafu Arusha mjini

CCM yabaini mchezo mchafu Arusha mjini

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
Chama Cha Mapinduzi kimebaini mchezo mchafu jijini Arusha, wa kuandikishwa wapiga kura zaidi ya 6,000 wenye umri chini ya miaka 18.

Huu mchezo sijui ni wa NEC? Na hili linaweza likawa lina ukweli maana kuna habari niliikuta huku inayosema kipindi cha kupiga kura kilipofika, wapo wanafunzi hadi wa kidato cha kwanza walikuwa na vitambulisho vya kupiga kura walikuwa wanaomba ruhusa kwa walezi wao kwenda kupiga kura na walimu wao waliwabaini kutokana na taarifa zao za kujisajili huko shuleni.

Chanzo cha habari ni gazeti la Uhuru.
 
aisee nec ya ccm yalalamikiwa na ccm na uhuru ?hilo limeonekana leo? ccm maji shingoni!
 
Ukiona SiSiEm wanalalamika mahali fulani, basi ujue hapo ni maji ya shingo kwao. Yaani mwizi alalamikie mpango wa kuibiwa, inafurahisha!
 
Kwa Arusha CCM hata mkeshe mkizikiri uchi hampati hata robo ya kura atakazopata Lema,

hiyo ni given kama pie huwa haibadiliki.
 
Kwahiyo ccm mnaujua kuwa Mizee ndio mtaji wenu na si vijana
Mnahakika gani kama si wapiga kura wenu pia hao
 
Duuuuh wamewaandikisha lini? Basi Magufuli atakuwa amechaguliwa na watoto, CHADEMA hawa wezi sana
 
Chadema wezi sana wanaandikisha hadi watoto na NEC yao,Jecha njoo ufute na huku CCM wanaonewa...
 
Mbona hawakusema hayo wakati wa uchaguzi wa 25 October? Ccm chama na viongozi wake waajabu sana.
 
Chama Cha Mapinduzi kimebaini mchezo mchafu jijini Arusha, wa kuandikishwa wapiga kura zaidi ya 6,000 wenye umri chini ya miaka 18.

Huu mchezo sijui ni wa NEC? Na hili linaweza likawa lina ukweli maana kuna habari niliikuta huku inayosema kipindi cha kupiga kura kilipofika, wapo wanafunzi hadi wa kidato cha kwanza walikuwa na vitambulisho vya kupiga kura walikuwa wanaomba ruhusa kwa walezi wao kwenda kupiga kura na walimu wao waliwabaini kutokana na taarifa zao za kujisajili huko shuleni.

Chanzo cha habari ni gazeti la Uhuru.

Chanzo cha habari ni gazeti la kuchambia ndiyo maana huna uhakika. Waambieni NEC wawape hizo kura bado Lema atachaguliwa tu.
 
ndio maana nikawa najiuliza zile kura milioni sita za mgombea wa ukawa kazipataje, kumbe ni watoto walipiga kura bana.
 
Ccm ni wapumbavu sana,kwa hali mbaya walionayo hapa Arusha,waulizwe wakati wa kujiaandikisha kila chama kilikuwa na wakala.pili wailiruhusiwa.kuweka pingamizi kama kuna aliyejiandikisha hana sifa.walikuwa wapi wasiwazue!
 
Wewe unapotamka upumbavu.wa ccm unaakiri timamu?.........Ndiomaaana umetengwa na jamiii kumbe kweli unaubongo mbovu.
 
Chama Cha Mapinduzi kimebaini mchezo mchafu jijini Arusha, wa kuandikishwa wapiga kura zaidi ya 6,000 wenye umri chini ya miaka 18.

Huu mchezo sijui ni wa NEC? Na hili linaweza likawa lina ukweli maana kuna habari niliikuta huku inayosema kipindi cha kupiga kura kilipofika, wapo wanafunzi hadi wa kidato cha kwanza walikuwa na vitambulisho vya kupiga kura walikuwa wanaomba ruhusa kwa walezi wao kwenda kupiga kura na walimu wao waliwabaini kutokana na taarifa zao za kujisajili huko shuleni.

Chanzo cha habari ni gazeti la Uhuru.

hiyo sasa ni tatzo kama wako chini ya umri wa kupiga kura ni nan kawaruhusu
 
Hahaha CCM tayari wameshajua wanashindwa wameanza maigizo.😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom