Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Ama kweli chadema chama dume.
Sote tumeshuhudia hotuba ya waziri mkuu bungeni aliyotoa pamoja na mambo mengine kuwa serikali iko katika mchakato mkali wa kutayarisha muswada na kupeleka bungeni katika kikao cha APRIL ili kuridhia utaratibu wa kuandika katiba mpya.
Ikumbukwe kuwa CDM walikuwa na agenda hiyo aktika ilani yao ya uchaguzi 2010 mbayo ilisisitiza kuwa ndani ya siku 100 mchakato wa kuandika katiba mpya utatakiwa kuanza bila kukosa. Ukweli umejidhihirisha kuwa CCM wamekuwa wakitimiza ilani ya CDM kwa kuwa wao CCM hawakuwahahi kuwa na ajenda hiyo katika ilani ya uchaguzi 2010 .
Big up CDM, Wabaneni sawasawa hao CCM watatekeleza mengi tu mwaka huu
Sote tumeshuhudia hotuba ya waziri mkuu bungeni aliyotoa pamoja na mambo mengine kuwa serikali iko katika mchakato mkali wa kutayarisha muswada na kupeleka bungeni katika kikao cha APRIL ili kuridhia utaratibu wa kuandika katiba mpya.
Ikumbukwe kuwa CDM walikuwa na agenda hiyo aktika ilani yao ya uchaguzi 2010 mbayo ilisisitiza kuwa ndani ya siku 100 mchakato wa kuandika katiba mpya utatakiwa kuanza bila kukosa. Ukweli umejidhihirisha kuwa CCM wamekuwa wakitimiza ilani ya CDM kwa kuwa wao CCM hawakuwahahi kuwa na ajenda hiyo katika ilani ya uchaguzi 2010 .
Big up CDM, Wabaneni sawasawa hao CCM watatekeleza mengi tu mwaka huu