SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
View attachment 48752Mtake msitake
Serikali dhalimu ya CCM badala ya kununua zana za kuokoa maisha ya watu wakati wa maafa kama ya mafuriko,moto,ajali za majini na nchi kavu wao wanatumia mabilioni kununua zana za maangamizi kama hizi halafu mtu aseme Kikwete siyo fashisti nitakuwa simuelewi