MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Heri ya Mwaka Mpya wana wa CCM, twashukuru mungu tumevuka mwaka baada ya kushiriki kikamilifu miaka 50 ya UHURU.
Vijana kwa wazee, tuwe wawazi na kuthubutu kukitetea na kukiunga mkono chama chenye uwakilishi wa makundi mbalimbali toka Kaskazini hadi kusini, mashariki hadi magharibi, na kimepiga mbizi na kuingia Zanzibar. Chama chetu ni uthibitisho wa utaifa nchini Tanzania.
UVCCM na UWT uzi ukazwe ili tuwabwage CDM na CUF katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu. Twaomba polisi watoe vibali kwa CDM ili waweze kutumia silaha yao pekee ya maandamano wakati CCM tunawaandalia maisha yenye neema watanzania kupitia SACCOs and Power tillers .
Mwaka huu tusiwe legelege wakimwaga mboga CDM sie tumwage ugali. KIDUMU CCM!!!
Vijana kwa wazee, tuwe wawazi na kuthubutu kukitetea na kukiunga mkono chama chenye uwakilishi wa makundi mbalimbali toka Kaskazini hadi kusini, mashariki hadi magharibi, na kimepiga mbizi na kuingia Zanzibar. Chama chetu ni uthibitisho wa utaifa nchini Tanzania.
UVCCM na UWT uzi ukazwe ili tuwabwage CDM na CUF katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu. Twaomba polisi watoe vibali kwa CDM ili waweze kutumia silaha yao pekee ya maandamano wakati CCM tunawaandalia maisha yenye neema watanzania kupitia SACCOs and Power tillers .
Mwaka huu tusiwe legelege wakimwaga mboga CDM sie tumwage ugali. KIDUMU CCM!!!