Ccm ya watanzania, vingine vyama vya kanda

MAFILILI

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
2,377
1,194
Heri ya Mwaka Mpya wana wa CCM, twashukuru mungu tumevuka mwaka baada ya kushiriki kikamilifu miaka 50 ya UHURU.
Vijana kwa wazee, tuwe wawazi na kuthubutu kukitetea na kukiunga mkono chama chenye uwakilishi wa makundi mbalimbali toka Kaskazini hadi kusini, mashariki hadi magharibi, na kimepiga mbizi na kuingia Zanzibar. Chama chetu ni uthibitisho wa utaifa nchini Tanzania.
UVCCM na UWT uzi ukazwe ili tuwabwage CDM na CUF katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu. Twaomba polisi watoe vibali kwa CDM ili waweze kutumia silaha yao pekee ya maandamano wakati CCM tunawaandalia maisha yenye neema watanzania kupitia SACCOs and Power tillers .
Mwaka huu tusiwe legelege wakimwaga mboga CDM sie tumwage ugali. KIDUMU CCM
!!!
 
dog sh*t..we dobi nenda kafua minguo ya kijani inayonuka jasho la akina wassira,mkama etal
 
Znz kimepiga mbizi!! Mh, kwani maana ya CCM ni nn? Chama cha mapinduzi, nyie huko Tanganyika mlimpindua nani? Znz ndiko kilikoanzia haswa nyie uko mmejitia tu, kuwafuata mabwana zenu:
Hio kijani ungechanganya na manjano ndo tungekujua haswa km ww Gamba la ukwee.
Kigumu chama cha mahayawani.
 
:shock:Siasa za majitaka:shock:

Tusiojua sihasa sijui tutajifunzaje
 
Heri ya Mwaka Mpya wana wa CCM, twashukuru mungu tumevuka mwaka baada ya kushiriki kikamilifu miaka 50 ya UHURU.
Vijana kwa wazee, tuwe wawazi na kuthubutu kukitetea na kukiunga mkono chama chenye uwakilishi wa makundi mbalimbali toka Kaskazini hadi kusini, mashariki hadi magharibi, na kimepiga mbizi na kuingia Zanzibar. Chama chetu ni uthibitisho wa utaifa nchini Tanzania.
UVCCM na UWT uzi ukazwe ili tuwabwage CDM na CUF katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu. Twaomba polisi watoe vibali kwa CDM ili waweze kutumia silaha yao pekee ya maandamano wakati CCM tunawaandalia maisha yenye neema watanzania kupitia SACCOs and Power tillers .
Mwaka huu tusiwe legelege wakimwaga mboga CDM sie tumwage ugali. KIDUMU CCM
!!!
Dada,
Habari za Mwalusembe?...
 
Heri ya Mwaka Mpya wana wa CCM, twashukuru mungu tumevuka mwaka baada ya kushiriki kikamilifu miaka 50 ya UHURU.
Vijana kwa wazee, tuwe wawazi na kuthubutu kukitetea na kukiunga mkono chama chenye uwakilishi wa makundi mbalimbali toka Kaskazini hadi kusini, mashariki hadi magharibi, na kimepiga mbizi na kuingia Zanzibar. Chama chetu ni uthibitisho wa utaifa nchini Tanzania.
UVCCM na UWT uzi ukazwe ili tuwabwage CDM na CUF katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu. Twaomba polisi watoe vibali kwa CDM ili waweze kutumia silaha yao pekee ya maandamano wakati CCM tunawaandalia maisha yenye neema watanzania kupitia SACCOs and Power tillers .
Mwaka huu tusiwe legelege wakimwaga mboga CDM sie tumwage ugali. KIDUMU CCM
!!!
haya bibie gamba.
 
Heri ya Mwaka Mpya wana wa CCM, twashukuru mungu tumevuka mwaka baada ya kushiriki kikamilifu miaka 50 ya UHURU.
Vijana kwa wazee, tuwe wawazi na kuthubutu kukitetea na kukiunga mkono chama chenye uwakilishi wa makundi mbalimbali toka Kaskazini hadi kusini, mashariki hadi magharibi, na kimepiga mbizi na kuingia Zanzibar. Chama chetu ni uthibitisho wa utaifa nchini Tanzania.
UVCCM na UWT uzi ukazwe ili tuwabwage CDM na CUF katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu. Twaomba polisi watoe vibali kwa CDM ili waweze kutumia silaha yao pekee ya maandamano wakati CCM tunawaandalia maisha yenye neema watanzania kupitia SACCOs and Power tillers .
Mwaka huu tusiwe legelege wakimwaga mboga CDM sie tumwage ugali. KIDUMU CCM
!!!

You are a crap!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom