CCM ya sasa ni ya ajabu sana tofauti kabisa na CCM ya kina NAPE na KINANA.

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Tulizoea kuiona CCM ambayo ilikua ikiungana na wananchi hasa wanyonge na kusimama pamoja kuwatetea, Ilikua ni CCM iliyokua karibu na makundi mbali mbali ya kijami kama vile Wasanii, Watumishi wa umma nk.Ilikua ni CCM iliyojipambananua tofauti na serikali, leo hii ndani ya CCM nami anaweza kumkoromea Waziri na kumshauri Rais amchukulie hatua?

Tuliona CCM ya kina NAPE na KINANA ikiungana na wanyonge kutetea maslahi yao pale serikali inapoenda ndivyo sivyo, ilisimama kuiomba serikali kusimama na makundi mbali mbali ya kijamii kama kuna tatizo ili kulitatua.

Leo hii tuna CCM mpya ambayo serikali ikisema kitu flani na yenyewe inaitetea,CCM ambayo mwenyekiti wao akibadili maamuzi na yenyewe inaelekea huko. Hii CCM ni hatari kuliko awamu zote zilizopita.

Imejaa vijana walikosa msimamo, wamekua fuata upepo hawana wasilimamialo. Wameshindwa kusimama na wanyonge,kazi yao ni kuisifu na kuitetea serikali hata kwenye mambo nyeti yasiyohitaji utetezi. Kama hili la KIKOKOTOZI cha mafao ya wastaafu, walikua pamoja na serikali kutetea uonevu kwa wastaafu lakini Mh Rais alipobadili maamuzi na wao wamegeuka tena.Walishidwaje kumshari mwenyekiti wao wakiungana na wafanyakazi toka mwanzo alitazame alitazame upya na badala yake mpaka yeye akafanya maamuzi yake binafsi?
Wanasimamia kipi ndugu zetu hawa?

Chama kimeshakosa dira kinakwenda na upepo kwa kutazama reactions za wananchi.
 
Tulizoea kuiona CCM ambayo ilikua ikiungana na wananchi hasa wanyonge na kusimama pamoja kuwatetea, Ilikua ni CCM iliyokua karibu na makundi mbali mbali ya kijami kama vile Wasanii, Watumishi wa umma nk.Ilikua ni CCM iliyojipambananua tofauti na serikali, leo hii ndani ya CCM nami anaweza kumkoromea Waziri na kumshauri Rais amchukulie hatua?

Tuliona CCM ya kina NAPE na KINANA ikiungana na wanyonge kutetea maslahi yao pale serikali inapoenda ndivyo sivyo, ilisimama kuiomba serikali kusimama na makundi mbali mbali ya kijamii kama kuna tatizo ili kulitatua.

Leo hii tuna CCM mpya ambayo serikali ikisema kitu flani na yenyewe inaitetea,CCM ambayo mwenyekiti wao akibadili maamuzi na yenyewe inaelekea huko. Hii CCM ni hatari kuliko awamu zote zilizopita.

Imejaa vijana walikosa msimamo, wamekua fuata upepo hawana wasilimamialo. Wameshindwa kusimama na wanyonge,kazi yao ni kuisifu na kuitetea serikali hata kwenye mambo nyeti yasiyohitaji utetezi. Kama hili la KIKOKOTOZI cha mafao ya wastaafu, walikua pamoja na serikali kutetea uonevu kwa wastaafu lakini Mh Rais alipobadili maamuzi na wao wamegeuka tena.Walishidwaje kumshari mwenyekiti wao wakiungana na wafanyakazi toka mwanzo alitazame alitazame upya na badala yake mpaka yeye akafanya maamuzi yake binafsi?
Wanasimamia kipi ndugu zetu hawa?

Chama kimeshakosa dira kinakwenda na upepo kwa kutazama reactions za wananchi.
Ya kinana ilikuwa ya uwindaji haramu na ukataji magogo kwenda nje ya nchi kiufupi kinana alikuwa untouchable sijui Sasa hivi yupo wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulizoea kuiona CCM ambayo ilikua ikiungana na wananchi hasa wanyonge na kusimama pamoja kuwatetea, Ilikua ni CCM iliyokua karibu na makundi mbali mbali ya kijami kama vile Wasanii, Watumishi wa umma nk.Ilikua ni CCM iliyojipambananua tofauti na serikali, leo hii ndani ya CCM nami anaweza kumkoromea Waziri na kumshauri Rais amchukulie hatua?

Tuliona CCM ya kina NAPE na KINANA ikiungana na wanyonge kutetea maslahi yao pale serikali inapoenda ndivyo sivyo, ilisimama kuiomba serikali kusimama na makundi mbali mbali ya kijamii kama kuna tatizo ili kulitatua.

Leo hii tuna CCM mpya ambayo serikali ikisema kitu flani na yenyewe inaitetea,CCM ambayo mwenyekiti wao akibadili maamuzi na yenyewe inaelekea huko. Hii CCM ni hatari kuliko awamu zote zilizopita.

Imejaa vijana walikosa msimamo, wamekua fuata upepo hawana wasilimamialo. Wameshindwa kusimama na wanyonge,kazi yao ni kuisifu na kuitetea serikali hata kwenye mambo nyeti yasiyohitaji utetezi. Kama hili la KIKOKOTOZI cha mafao ya wastaafu, walikua pamoja na serikali kutetea uonevu kwa wastaafu lakini Mh Rais alipobadili maamuzi na wao wamegeuka tena.Walishidwaje kumshari mwenyekiti wao wakiungana na wafanyakazi toka mwanzo alitazame alitazame upya na badala yake mpaka yeye akafanya maamuzi yake binafsi?
Wanasimamia kipi ndugu zetu hawa?

Chama kimeshakosa dira kinakwenda na upepo kwa kutazama reactions za wananchi.
Hii ya sasa hivi ndiomaana upinzania umeamua kupitisha Lissu kua ngombea uraisi 2020
 
Tulizoea kuiona CCM ambayo ilikua ikiungana na wananchi hasa wanyonge na kusimama pamoja kuwatetea, Ilikua ni CCM iliyokua karibu na makundi mbali mbali ya kijami kama vile Wasanii, Watumishi wa umma nk.Ilikua ni CCM iliyojipambananua tofauti na serikali, leo hii ndani ya CCM nami anaweza kumkoromea Waziri na kumshauri Rais amchukulie hatua?

Tuliona CCM ya kina NAPE na KINANA ikiungana na wanyonge kutetea maslahi yao pale serikali inapoenda ndivyo sivyo, ilisimama kuiomba serikali kusimama na makundi mbali mbali ya kijamii kama kuna tatizo ili kulitatua.

Leo hii tuna CCM mpya ambayo serikali ikisema kitu flani na yenyewe inaitetea,CCM ambayo mwenyekiti wao akibadili maamuzi na yenyewe inaelekea huko. Hii CCM ni hatari kuliko awamu zote zilizopita.

Imejaa vijana walikosa msimamo, wamekua fuata upepo hawana wasilimamialo. Wameshindwa kusimama na wanyonge,kazi yao ni kuisifu na kuitetea serikali hata kwenye mambo nyeti yasiyohitaji utetezi. Kama hili la KIKOKOTOZI cha mafao ya wastaafu, walikua pamoja na serikali kutetea uonevu kwa wastaafu lakini Mh Rais alipobadili maamuzi na wao wamegeuka tena.Walishidwaje kumshari mwenyekiti wao wakiungana na wafanyakazi toka mwanzo alitazame alitazame upya na badala yake mpaka yeye akafanya maamuzi yake binafsi?
Wanasimamia kipi ndugu zetu hawa?

Chama kimeshakosa dira kinakwenda na upepo kwa kutazama reactions za wananchi.
Hangaika na chadomo!! Chama Dume hutakiweza hicho ni taasisi iliyojichimbia zaidi siyo SACCOS kama Chadomo mkuu!!
 
Tulizoea kuiona CCM ambayo ilikua ikiungana na wananchi hasa wanyonge na kusimama pamoja kuwatetea, Ilikua ni CCM iliyokua karibu na makundi mbali mbali ya kijami kama vile Wasanii, Watumishi wa umma nk.Ilikua ni CCM iliyojipambananua tofauti na serikali, leo hii ndani ya CCM nami anaweza kumkoromea Waziri na kumshauri Rais amchukulie hatua?

Tuliona CCM ya kina NAPE na KINANA ikiungana na wanyonge kutetea maslahi yao pale serikali inapoenda ndivyo sivyo, ilisimama kuiomba serikali kusimama na makundi mbali mbali ya kijamii kama kuna tatizo ili kulitatua.

Leo hii tuna CCM mpya ambayo serikali ikisema kitu flani na yenyewe inaitetea,CCM ambayo mwenyekiti wao akibadili maamuzi na yenyewe inaelekea huko. Hii CCM ni hatari kuliko awamu zote zilizopita.

Imejaa vijana walikosa msimamo, wamekua fuata upepo hawana wasilimamialo. Wameshindwa kusimama na wanyonge,kazi yao ni kuisifu na kuitetea serikali hata kwenye mambo nyeti yasiyohitaji utetezi. Kama hili la KIKOKOTOZI cha mafao ya wastaafu, walikua pamoja na serikali kutetea uonevu kwa wastaafu lakini Mh Rais alipobadili maamuzi na wao wamegeuka tena.Walishidwaje kumshari mwenyekiti wao wakiungana na wafanyakazi toka mwanzo alitazame alitazame upya na badala yake mpaka yeye akafanya maamuzi yake binafsi?
Wanasimamia kipi ndugu zetu hawa?

Chama kimeshakosa dira kinakwenda na upepo kwa kutazama reactions za wananchi.
Hayatuhusu
 
Ni unafiki kuisifia ccm ya zamani,eti ilikuwa ikishirikiana na wananchi,tangu lini?
Majina ya ccm majizi yameanza lini?
Waliopiga escrow ni chama gani?
Richmond ni chama gani wamehusika?
Waliosaini mikataba ya kinyonyaji ni chama gani?
Japo ccm ya sasa ina mapungufu yake lakini ccm ya 2015 kushuka ilikuwa imeoza na kunuka na ni mnafiki na mchumia tumbo atakayeisifia ccm ya zamani.
Umenikera eti ccm ilikuwa inatetea wanyonge.
Narudia tena huu ni UNAFIKI MKUBWA.
 
Tulizoea kuiona CCM ambayo ilikua ikiungana na wananchi hasa wanyonge na kusimama pamoja kuwatetea, Ilikua ni CCM iliyokua karibu na makundi mbali mbali ya kijami kama vile Wasanii, Watumishi wa umma nk.Ilikua ni CCM iliyojipambananua tofauti na serikali, leo hii ndani ya CCM nami anaweza kumkoromea Waziri na kumshauri Rais amchukulie hatua?

Tuliona CCM ya kina NAPE na KINANA ikiungana na wanyonge kutetea maslahi yao pale serikali inapoenda ndivyo sivyo, ilisimama kuiomba serikali kusimama na makundi mbali mbali ya kijamii kama kuna tatizo ili kulitatua.

Leo hii tuna CCM mpya ambayo serikali ikisema kitu flani na yenyewe inaitetea,CCM ambayo mwenyekiti wao akibadili maamuzi na yenyewe inaelekea huko. Hii CCM ni hatari kuliko awamu zote zilizopita.

Imejaa vijana walikosa msimamo, wamekua fuata upepo hawana wasilimamialo. Wameshindwa kusimama na wanyonge,kazi yao ni kuisifu na kuitetea serikali hata kwenye mambo nyeti yasiyohitaji utetezi. Kama hili la KIKOKOTOZI cha mafao ya wastaafu, walikua pamoja na serikali kutetea uonevu kwa wastaafu lakini Mh Rais alipobadili maamuzi na wao wamegeuka tena.Walishidwaje kumshari mwenyekiti wao wakiungana na wafanyakazi toka mwanzo alitazame alitazame upya na badala yake mpaka yeye akafanya maamuzi yake binafsi?
Wanasimamia kipi ndugu zetu hawa?

Chama kimeshakosa dira kinakwenda na upepo kwa kutazama reactions za wananchi.
tapatalk_1544853514742.jpeg
 
Jiwe amepewa tuisheni na PK wa Rwanda, kwamba ahakikishe anaua umaarufu na hadhi ya kila taasisi na kila MTU ndani na nje ya chama na serikali.

Ndiyo maana amewaingiza kingi wafuatao kisha akawapa za uso na kuyazuia baadhi ya mambo:-
  1. Mwakyembe- alisema ndoa hazifungwi mpaka cheti cha kuzaliwa.
  2. Kangi Lugola/Ndalichako -wimbo na bendera ya taifa.
  3. Mhagama na UVCCM - kikokotoo.
  4. Amezima bunge,
  5. Amepiga marufuku mikutano ya siasa,
  6. Anazindua kila kitu yy hata kugawa vitambulisho vya wamachinga yy.
  7. nk,
 
Tulizoea kuiona CCM ambayo ilikua ikiungana na wananchi hasa wanyonge na kusimama pamoja kuwatetea, Ilikua ni CCM iliyokua karibu na makundi mbali mbali ya kijami kama vile Wasanii, Watumishi wa umma nk.Ilikua ni CCM iliyojipambananua tofauti na serikali, leo hii ndani ya CCM nami anaweza kumkoromea Waziri na kumshauri Rais amchukulie hatua?

Tuliona CCM ya kina NAPE na KINANA ikiungana na wanyonge kutetea maslahi yao pale serikali inapoenda ndivyo sivyo, ilisimama kuiomba serikali kusimama na makundi mbali mbali ya kijamii kama kuna tatizo ili kulitatua.

Leo hii tuna CCM mpya ambayo serikali ikisema kitu flani na yenyewe inaitetea,CCM ambayo mwenyekiti wao akibadili maamuzi na yenyewe inaelekea huko. Hii CCM ni hatari kuliko awamu zote zilizopita.

Imejaa vijana walikosa msimamo, wamekua fuata upepo hawana wasilimamialo. Wameshindwa kusimama na wanyonge,kazi yao ni kuisifu na kuitetea serikali hata kwenye mambo nyeti yasiyohitaji utetezi. Kama hili la KIKOKOTOZI cha mafao ya wastaafu, walikua pamoja na serikali kutetea uonevu kwa wastaafu lakini Mh Rais alipobadili maamuzi na wao wamegeuka tena.Walishidwaje kumshari mwenyekiti wao wakiungana na wafanyakazi toka mwanzo alitazame alitazame upya na badala yake mpaka yeye akafanya maamuzi yake binafsi?
Wanasimamia kipi ndugu zetu hawa?

Chama kimeshakosa dira kinakwenda na upepo kwa kutazama reactions za wananchi.[/QUOTE




Tena huyu mzee hata haendi kutembeatembea ili hata tufunguwe fridge tunywe ka soda na harusi girl wetu.
Yaani yeye kila saa yuko nyumbani tuu. Mh!

Kweli ccm hii imeanza kwa kukata short cut ya kampeni (bunge live).

Ndio ccm ile ilikuwa ikiwaita kunywa chai ikulu.
Kweli

Ndio ccm ile ilikuwa inakubali kuyumbishwa na kukubali mbinu za kina zitto kabwe na wapiga deal wenzie.

Ndio ccm ile ilikuwa inajikwaa, angalau inawapa wapinzani hoja za kuingilia mitaani,kama escrow nk.

Ccm ile ilikuwa angalau ina mafisadi tajwa kwenye list of shame pale mwembeyanga.hivyo kuturahishia kazi ya propaganda.

Kweli ccm hii haikuanza na IPTL wala SONGAS.

KWELI ccm hii haina hata meli ya Bashiru, yenye meno ya ng'ombe iliyokamatwa ughaibuni.

Kweli ccm hii yenyewe haiungani na wanyonge kulialia,
Bali inakutana na wanyonge kutatua kero zao.

Kweli ccm hii haitaki mzaha, maana imekataa michango ya matajiri na mafisadi kwenye kampeni.

Kweli ccm hii haiwatumii wasanii kuwalipa ili wapande majukwaani kuwapigia debe.

Loh maskini ccm hii, haiangalii mtu usoni,bali matendo yake.

Loh ccm hii tofauti kweli.
Maana imewahamasisha chadema hadi kuamua kuisaidia kuchagua mgombea wa urais 202o!

Loh aisee ufipa ni mbali...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom