banned do
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 574
- 508
Mimi mwenyewe ninaona aibu sana maana hapo zamani tulikuwa tunaingia kwenye uchaguzi bila hofu na wapinzani walikuwa wana uhuru wa kutosha.Sasa leo hii pamoja na kuwabana bado CCM inawaogopa!Yaani mtu kafungwa kamba halafu unaogopa kupigana naye!Mambo ya Mohammed Ali haya.