CCM ya sasa hivi sio sawa na zamani

CCM ya sasa hivi sio sawa na zamani

Miiku

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
3,835
Reaction score
2,648
Jamani ccm wametumaliza. Wamedhulmu, wameiba na sasa "wamepumzisha" roho za watu hususan wapenda haki.

Ccm ya sasa hivi imewatukana waasisi wa taifa hili.
Ccm mmemtukana Nyerere mmemtukana butiku mme mtukana warioba ni nani hamjatukana?

Leo hii mnachaguana kupitia kura za maoni kupitisha wagombea vitongoji ndani ya ligenge lenu la kupgia deal-ccm .
Chaguaneni mje mkutane na chadema
 
Wana laana hao,wataangamizwa vibaya ya moto wa jehanam
 
Moderator mchezo gani huo Mbona mmenibadilishia title ya uzi wangu? Unganisheni kabisa maana ndio taabia yenu.
 
Last edited by a moderator:
Ccm Ilishachoka na kuchakaa kama tambara la kupigia deki
 
Back
Top Bottom