Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,198
- 7,536
Mnajisikia je?
Nadhani Hii mada zaidi inaweza kuwahusu kina Mwigulu Nchemba na Akina Nape Nnauye lakini kwa bahati mbaya ni kwamba hawawezi kuja kwenye uzi kama huu kama members kwa sababu maalum.Hata hivyo mwisho wa siku watakuwa wakijitathmini wenyewe huko waliko.good presentation! watakuja ma.hamnazo utashangaa comments zao!
Mkuu pengine kuna na swali jengine moja ambalo hili sasa si Kwa CCM pekee bali kwa watanzania wote; Kwa kuwa serikali iliahidi mill 100, kwa atakeyetoa taarifa za muhalifu kule Arusha.Kwa kuwa ni lazma kuna watu wengi tu walimuona, na kwa kuwa hatujaona aliekamatwa; je; Ina maana ikiwa alielipua ni CHADEMA, na waliomuona hawakutoa ushahidi kwa kuwa ni CHADEMA mwenzao, basi; waliomwona Wana mapenzi na CHADEMA kuliko milioni 100? kama ndivyo mapenzi haya yanatoka wapi? Kwa ujumla mimi naona kwa sasa imefikia hatua serikali ya CCM, igeuke nyuma. Hila matokeo yake hayawezi kuwa mema.well done mkuu umetililika vizuri sana nafikili watu wa Green guard watakuwa wamekuelewa.
sasa ndugu yangu Tetty ; yu wapi huyo mwenye hekima katika nchi hii hata akaingilia mambo haya ?betlehem haya uliyoyaongea yanaweza kutatuliwa na kuwa historia hadi pale watawala watakapokubali kuwa watanzania wa sasa siyo wa mwaka 47,na pia kamawalikubali kuwa na vyama vya upinzani halafu wakawa hawaelewi maana yake basi ni mpaka pale watawala wetu watakapokubaliana kwa dhati kuanzishwa kwa vyama vingi na kuelewa maana halisi ya vyama vya upinzani.Vinginevyo haya yataendelea mpaka wenye hekima watakapoingilia.
Mambo haya kwa mtu yeyote mwenye chembe ya ubinadamu ni lazma yamuume.Naamini hata humo ndani ya CCM Kuna watu wanatenda huku nafsi zinawasuta, sema tu ni either kutokana na itifaki, au maslahi, au kujipendekeza ndio maana wanakuwa kama walivyo.Nimeumia ni kama mimi ndiye nilkuwa naelezwa haya,nimetamani ningechukua maneno haya
nikayasoma mbele ya waandishi wa habari ili ccm na viongozi wote wayasikie.Anyway naomba
Mungu awafanye japo wachache wapite hapa'
nadhani hii mada zaidi inaweza kuwahusu kina mwigulu nchemba na akina nape nnauye lakini kwa bahati mbaya ni kwamba hawawezi kuja kwenye uzi kama huu kama members kwa sababu maalum.hata hivyo mwisho wa siku watakuwa wakijitathmini wenyewe huko waliko.
Hapana mkuu. mambo ya msituni sio.Nataka maridhiano yanayozingatia haki, usawa, ubinadamu na uadilifu kamili. Napinga watu wanaojifaharisha kwa dhamana ya uongozi na kuwa na vyombo vyenye nguvu ambayo wanavitumia kinyume na inavyotakiwa.Napinga kumlaumu anaejilinda na kumpigia kifua anaedhuru.Natamani watanzania wote tuungane katika hili.mkuu wewe mchochezi bwana unataka wat tuingie msituni kwa nguvu sasa!
Sina uhakika kama kweli watu hawa wanamuamini mungu kiukweli; au huwa wanatumia dini tu kama daraja la kupata madaraka maana karibu na uchaguzi mara nyingi ndio wanaonekana wakitoa sadaka halafu sadaka zao ni lazma ziwe za dhahiri ili kila mtu ajue katoa milioni ngapi.Anapopata madaraka ndio mabo hayo.Ni kama mtu aliepewa mamlaka ya kulinda ghala la mishale.Basi akiona wengine wanapita nje yeye anawachoma tu tu (si mikuki ipo bwana?)Duniani leo Kuna mwili wa Farao ("Firaghuun") uliokaushwa kwa kauli ya Mungu mpaka mwisho wa Dunia hii ili iwe uthibitisho kwa wanadamu wa sasa juu ya kile alichokuwa akiwafanyia wenzake. Farao alijisikia fahari kuwatumbukiza wanadam wenzake katika mafuta yanayochemka mithili ya Chips na hiyo kwake ilikuwa adhabu nzuri kwa wanaompinga kifikra juu ya utawala wake.
Nadhani Hii mada zaidi inaweza kuwahusu kina Mwigulu Nchemba na Akina Nape Nnauye lakini kwa bahati mbaya ni kwamba hawawezi kuja kwenye uzi kama huu kama members kwa sababu maalum.Hata hivyo mwisho wa siku watakuwa wakijitathmini wenyewe huko waliko.
hapana mkuu. Mambo ya msituni sio.nataka maridhiano yanayozingatia haki, usawa, ubinadamu na uadilifu kamili. Napinga watu wanaojifaharisha kwa dhamana ya uongozi na kuwa na vyombo vyenye nguvu ambayo wanavitumia kinyume na inavyotakiwa.napinga kumlaumu anaejilinda na kumpigia kifua anaedhuru.natamani watanzania wote tuungane katika hili.
hapana mkuu. Mambo ya msituni sio.nataka maridhiano yanayozingatia haki, usawa, ubinadamu na uadilifu kamili. Napinga watu wanaojifaharisha kwa dhamana ya uongozi na kuwa na vyombo vyenye nguvu ambayo wanavitumia kinyume na inavyotakiwa.napinga kumlaumu anaejilinda na kumpigia kifua anaedhuru.natamani watanzania wote tuungane katika hili.