CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 59
Ccm wamekuja na jambo lingine huko meru..wanawatisha wanaarumeru kuwa kila aliyepokea chochote kutoka ccm ni lazima awapigie kura tofauti na hapo atadhurika.......................mytake:wana arumeru wasitutishe hao, bado tutaendelea kula na tarehe moja tunapiga kura zote kwa mpenda maendeleo nassary, chadema