Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Chuki iliyowajaa CCM Zanzibar ni kwa nini wamasai waishio huko walijitokeza kumlaki Lowassa, muda si mrefu leo kuna kikundi cha wamasai kiliviziwa na kupigwa mawe, mwanzo ilikuwa panga kwa panga baadae CCM akajeruhiwa panga la mkono hapo ndio wakaanza kurusha mawe. Kumbuka CCM wamekuwa wakianzisha vikundi vya kuendesha hujuma nyakati za uchaguzi huko Zanzibar na haijawahi vikundi hivyo kutiwa mkononi kwani dalili za kwa nini hawakamatwi sababu kubwa inayoelezwa ni kuwa vikundi hivyo vinafadhiliwa na CCM.
Hadi sasa kunasubiriwa maelezo kutoka polisi, bado kimya.
Hadi sasa kunasubiriwa maelezo kutoka polisi, bado kimya.