CCM wavamia uchaguzi chuo kikuu SAUT

CCM wavamia uchaguzi chuo kikuu SAUT

fidel mgaya

Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
11
Reaction score
9
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha mtakatifu Agustino cha Mwanza na nasoma shahada ya ualimu mwaka wa pili... Leo tarehe 5/04/2013 ndio tarehe tulitakiwa kufanya uchaguzi kwa maana ya wabunge, na pia Urais cha kusikitisha ni kwamba Majina yaliyopitishwa na Senate ya wagombea wawili ambao walipaswa kuchuana leo ambao ni KIMENYI DAMAS anaesoma Sheria mwaka wa pili na Donavani Mcheshi anaesoma shahada ya Mahusiano ya umma (PR) wamewekewa pingamizi na kijana aliewekwa na C.C.M kwa jina la PETER JOHN BEGER ikiwa ni mpango wa chama hicho kuhakikisha ya kwamba Marais wa vyuo vikuu vyote wanakua wanaCCM ili kuwapa ahueni ya matamko yanayokemea maovu yao.

Na pingamizi waliloweka kwanza kwamba tume ya uchaguzi imeundwa na CHADEMA.

2. Wagombea ni wa CHADEMA kwamba wataleta mgomo
3.kwamba Tume iundwe ambayo ni huru.

Mpango huo wakuwasimika maraisi wa C.C.M ulijulikana baada ya Mbunge Juma Nkamia kuzungumza na wanachama wa C.C.M tawi la SAUT mnamo tarehe 08/01/2013 na kweli tunaona kama wanafanikiwa ni hayo tu wapendwa ndugu wana Jamii....
 
mpigeni huyo kada wa magamba na pingamiz lake lipigeni chini muendelee na uchaguzi,mwaka huu watahaha sana magamba
 
Ruco napo alikkuja mkuu wa mkoa kwenye uchaguzi ka rais wa wanafunzi hawa maccm akili zao ziko puani kweli......walimtoa nduki hata huko mpigeni huyo kada
 
Wamechanganyikiwa hawajui pa kukamata, nyie kajiandikisheni muwe na vitambulisho vya kupigia kura,ili 2015 muiondoe ccm madarakani kwa kura na mjiandae kusimamia kura kwa nguvu zote!
 
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha mtakatifu Agustino cha Mwanza na nasoma shahada ya ualimu mwaka wa pili... Leo tarehe 5/04/2013 ndio tarehe tulitakiwa kufanya uchaguzi kwa maana ya wabunge, na pia Urais cha kusikitisha ni kwamba Majina yaliyopitishwa na Senate ya wagombea wawili ambao walipaswa kuchuana leo ambao ni KIMENYI DAMAS anaesoma Sheria mwaka wa pili na Donavani Mcheshi anaesoma shahada ya Mahusiano ya umma (PR) wamewekewa pingamizi na kijana aliewekwa na C.C.M kwa jina la PETER JOHN BEGER ikiwa ni mpango wa chama hicho kuhakikisha ya kwamba Marais wa vyuo vikuu vyote wanakua wanaCCM ili kuwapa ahueni ya matamko yanayokemea maovu yao.

Na pingamizi waliloweka kwanza kwamba tume ya uchaguzi imeundwa na CHADEMA.

2. Wagombea ni wa CHADEMA kwamba wataleta mgomo
3.kwamba Tume iundwe ambayo ni huru.

Mpango huo wakuwasimika maraisi wa C.C.M ulijulikana baada ya Mbunge Juma Nkamia kuzungumza na wanachama wa C.C.M tawi la SAUT mnamo tarehe 08/01/2013 na kweli tunaona kama wanafanikiwa ni hayo tu wapendwa ndugu wana Jamii....


Mie nashanga katika hoja yako, nina maswali kadhaa hapa

Kwanza,kwa mjibu wa sheria zenu hapo SAUTI bylaws na katiba ya serikali ya wanafunzi hapo SAUTI tume inaundwaje na muundo wake ukoje?
Pili, Nani anashughulikia hilo pingamizi au mapingamizi yanayo wekwa na watu kama hao
Tatu,Nani wenye haki ya kugombea kwani ukiwa chadema huruhusiwi kugombea nafasi yeyote na amethibitishaje kama wagombea ni chadema?
Nne, nini kinaunda tume pingamizi au katiba ya wanafunzi?

Nikipata majibu nitakuwa na la kusema hapo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mie nashanga katika hoja yako, nina maswali kadhaa hapa

Kwanza,kwa mjibu wa sheria zenu hapo SAUTI bylaws na katiba ya serikali ya wanafunzi hapo SAUTI tume inaundwaje na muundo wake ukoje?
Pili, Nani anashughulikia hilo pingamizi au mapingamizi yanayo wekwa na watu kama hao
Tatu,Nani wenye haki ya kugombea kwani ukiwa chadema huruhusiwi kugombea nafasi yeyote na amethibitishaje kama wagombea ni chadema?
Nne, nini kinaunda tume pingamizi au katiba ya wanafunzi?

Nikipata majibu nitakuwa na la kusema hapo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ni vyema ungemuuliza huyo aliyeweka pingamizi zidi ya mgombea/wagombea kwa madai ya kua wote ni wafuasi wa chadema,yeye atasema kama ni nani mwenye haki ya kugombea nafasi ya urais wa chuo/vyuo ndani ya Nchi yetu.
 
Watoto someni acheni siasa
kwa mara ya kwanza naungana nawe, hawa watoto niwapumbavu kweli kweli. badala wakazane kusoma wamekazania siasa.
vikivunja sheria za chuo na kufukuzwa vinakuja kulalamika humu. nyie watoto ndo kwanza mnatafuta elimu, hiyo ccm ilikuwape na chadema kama wewe ni mwaka wa pili degree si ajabu ulikuwa hujazaliwa pia, utavikuta tu. mnakimbilia wapi? achaneni na akina lema wanawapoteza hao. wao wanamaisha yao, wewe ukifukuzwa/UKIFELI leo ndo imekula kwako.YAZINGATIENI HAYA.
 
Masanilo unategemea kina zito, sita, nchimbi, jk, mtatiro, nk wasingefanya siasa vyuoni wangekuwa hapo walipo? Kwa nini kuwe na kozi za political science vyuoni? Unategemea hao wanasiasa wa baadaye watakomalia wapi? Siasa za vyuoni zilianza kabla ya hizo mnazoita ccm na cdm wao walikuwa wanapigania maisha ya wananchi zaidi. Siku hizi ukipigania maisha ya maskini unaambiwa umetumwa na upinzani ndo hoja za kukufukuza bila sababu zinakuja. Hivyo wanachuo wameamua wawe wanajiunga kwenye vyama vya siasa kabisa
 
he! huko ccm wanataka tume huru ee? aaha ha ha ha. this is seriously funny.

Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha mtakatifu Agustino cha Mwanza na nasoma shahada ya ualimu mwaka wa pili... Leo tarehe 5/04/2013 ndio tarehe tulitakiwa kufanya uchaguzi kwa maana ya wabunge, na pia Urais cha kusikitisha ni kwamba Majina yaliyopitishwa na Senate ya wagombea wawili ambao walipaswa kuchuana leo ambao ni KIMENYI DAMAS anaesoma Sheria mwaka wa pili na Donavani Mcheshi anaesoma shahada ya Mahusiano ya umma (PR) wamewekewa pingamizi na kijana aliewekwa na C.C.M kwa jina la PETER JOHN BEGER ikiwa ni mpango wa chama hicho kuhakikisha ya kwamba Marais wa vyuo vikuu vyote wanakua wanaCCM ili kuwapa ahueni ya matamko yanayokemea maovu yao.

Na pingamizi waliloweka kwanza kwamba tume ya uchaguzi imeundwa na CHADEMA.

2. Wagombea ni wa CHADEMA kwamba wataleta mgomo
3.kwamba Tume iundwe ambayo ni huru.

Mpango huo wakuwasimika maraisi wa C.C.M ulijulikana baada ya Mbunge Juma Nkamia kuzungumza na wanachama wa C.C.M tawi la SAUT mnamo tarehe 08/01/2013 na kweli tunaona kama wanafanikiwa ni hayo tu wapendwa ndugu wana Jamii....
 
kwa mara ya kwanza naungana nawe, hawa watoto niwapumbavu kweli kweli. badala wakazane kusoma wamekazania siasa.
vikivunja sheria za chuo na kufukuzwa vinakuja kulalamika humu. nyie watoto ndo kwanza mnatafuta elimu, hiyo ccm ilikuwape na chadema kama wewe ni mwaka wa pili degree si ajabu ulikuwa hujazaliwa pia, utavikuta tu. mnakimbilia wapi? achaneni na akina lema wanawapoteza hao. wao wanamaisha yao, wewe ukifukuzwa/UKIFELI leo ndo imekula kwako.YAZINGATIENI HAYA.
Wewe akili zako ni ndogo sana.
*Vyuoni kuna MASOMO na MAISHA.
Maisha ni kila kitu yaani Imani, Mapenzi, Michezo, Siasa, Mahitaji(Chakula, mavazi, malazi, Pesa) Starehe(Pombe, muziki), Familia nk. Kila mwanachuo kuna kitu kimojawapo katika maisha anakihusudu zaidi katika baadhi ya vitu nilivyovitaja hapo juu.
Na maisha yanachukua zaidi ya 60% ya muda na akili ya mwanachuo awapo chuoni. Hivyo kufanikiwa kwa kimasomo kwa mwanachuo kunategemea sana namna anavyofanikiwa na kumudu eneo la MAISHA analolihusudu.

*Siasa ndio eneo pekee la MAISHA kwa mwanachuo linaloweza kumpevusha fikra zake, yaani linamjenga vizuri FIKRA, MSIMAMO na UJASIRI katika maisha yake ya kila siku hasa atakapo maliza masomo.
Hivyo kila mwanachuo anapaswa(Lazima) ajihusishe na siasa akiwa chuoni ili kujijenga Kifikra, kimsimamo na Ujasiri katika maisha.
 
kwa mara ya kwanza naungana nawe, hawa watoto niwapumbavu kweli kweli. badala wakazane kusoma wamekazania siasa.
vikivunja sheria za chuo na kufukuzwa vinakuja kulalamika humu. nyie watoto ndo kwanza mnatafuta elimu, hiyo ccm ilikuwape na chadema kama wewe ni mwaka wa pili degree si ajabu ulikuwa hujazaliwa pia, utavikuta tu. mnakimbilia wapi? achaneni na akina lema wanawapoteza hao. wao wanamaisha yao, wewe ukifukuzwa/UKIFELI leo ndo imekula kwako.YAZINGATIENI HAYA.
Pumbafu zako,kwann awe Lema na asiwe Mwigulu?
 
kwa mara ya kwanza naungana nawe, hawa watoto niwapumbavu kweli kweli. badala wakazane kusoma wamekazania siasa.
vikivunja sheria za chuo na kufukuzwa vinakuja kulalamika humu. nyie watoto ndo kwanza mnatafuta elimu, hiyo ccm ilikuwape na chadema kama wewe ni mwaka wa pili degree si ajabu ulikuwa hujazaliwa pia, utavikuta tu. MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI.
 
Pumbafu zako,kwann awe Lema na asiwe Mwigulu?
kweli wewe ni taahira na kama ni sehemu ya hao wanafunzi basi hicho chuo kinachukua special students, kwani hufai kuwa kwenye vyuo vya kawaida.
nikitaja lema huo ni mfano tu anaweza kuwa zitto, mnyika, slaa na hata kikwete. wote hao ni wanasiasa. kuweni makini nao, msijetumika kama ndoms na kuishia kutupwa mwisho wa kazi.
huoni ludo amekanwa kabisa na slaa pamoja na kuwa yeye ndo aliyemwita kutoka kigoma ambapa alienda kuripoti kwa ajili ya kuanza kazi ya kufundisha lakini sasa slaa anasema hamfahamu kabisa? fikiria we dogo.
 
kwa mara ya kwanza naungana nawe, hawa watoto niwapumbavu kweli kweli. badala wakazane kusoma wamekazania siasa.
vikivunja sheria za chuo na kufukuzwa vinakuja kulalamika humu. nyie watoto ndo kwanza mnatafuta elimu, hiyo ccm ilikuwape na chadema kama wewe ni mwaka wa pili degree si ajabu ulikuwa hujazaliwa pia, utavikuta tu. mnakimbilia wapi? achaneni na akina lema wanawapotieza hao. wao wanamaisha yao, wewe ukifukuzwa/UKIFELI leo ndo imekula kwako.YAZINGATIENI HAYA.

Hivi watu wa ccm poa mkoje? Utadhani mnaishi kwenye li sayari gani sijui lililojaa giza na udongo wake wa masizi! Mbona pumba sana? Ndiyo maana mnasemaga "vijana ni taifa la kesho". aHata uwezo tu mdogo wa kureason hakuna! Halafu mnang'ang'ania kuendelea kututawala ili tuendelee kubanana katika ufahamu wenu ulio kama kisanduku kinachonuka mauti?

Mbona mnatia aibu na hasira sana. Please washaurini uvccm, ubavu wa kujipa nafasi ya ushauri usaha kwa vijana wa mabadililko hamna. Hope umenielewa.
 
Wewe akili zako ni ndogo sana.
*Vyuoni kuna MASOMO na MAISHA.
Maisha ni kila kitu yaani Imani, Mapenzi, Michezo, Siasa, Mahitaji(Chakula, mavazi, malazi, Pesa) Starehe(Pombe, muziki), Familia nk. Kila mwanachuo kuna kitu kimojawapo katika maisha anakihusudu zaidi katika baadhi ya vitu nilivyovitaja hapo juu.
Na maisha yanachukua zaidi ya 60% ya muda na akili ya mwanachuo awapo chuoni. Hivyo kufanikiwa kwa kimasomo kwa mwanachuo kunategemea sana namna anavyofanikiwa na kumudu eneo la MAISHA analolihusudu.

*Siasa ndio eneo pekee la MAISHA kwa mwanachuo linaloweza kumpevusha fikra zake, yaani linamjenga vizuri FIKRA, MSIMAMO na UJASIRI katika maisha yake ya kila siku hasa atakapo maliza masomo.
Hivyo kila mwanachuo anapaswa(Lazima) ajihusishe na siasa akiwa chuoni ili kujijenga Kifikra, kimsimamo na Ujasiri katika maisha.
andelea kuleta ngonjera zako hapa. ukifukuzwa unakuja kutuandikia makala reeeeefu la malalamiko. kwa nini usijifunze kutokana na makosa? au hujui maana ya historia?
 
Back
Top Bottom