Ndugu wana jamii forum naleta kwenu hapa jamvini hoja hii, kuwa CCM chini ya usimamizi wa mzee MALECHELA NA KINANA jana walisikika katika vyombo vya habari wakijinasibu kuwa ccm imefanikiwa kuumaliza mgogoro wa sudani kusini, sasa je mgogoro wa mkoa wa Morogoro kati ya wafugaji na wakulima vipi? Au waendelee kuchapana tu?