JK NA CCM Hawana maslahi kwani FAMILIA ya nyerere wameitupa long time, ndo maana laaana inawatafuna na watakoma, baraka ziko chadema.Tunamuomba Mama yetu mama maria avumilie bado miezi miwili haki zote zitarudi.Tunasikia hata idadi ya walinzi walishapunguzwa pale butiama, sungu sungu ndiyo wanalinda.Tangu JK alivyokwenda mwaka 2005 kujikomba na akapewa zawadi ya biblia na kuchota baraka hajaenda kwa mama nyerere baada ya kupata kasahau, mwaka huu adhabu ataipata 31 oct.