Mohamed Mbelwa
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 507
- 272
Toka mlipo watumia mwaka Jana kule mbeya kwenye sherehe zenu, Bongo move Wamepoteana hawathaminiki tena kwa watanzanzania ,nanyi mmeonyesha kuwatenga baada ya kuisha thamani , mwaka huu songea mmemtumia Diamond na kuwaacha wao. CCM hawa bongo move ni vijana wetu.
wapi Johari, wapi nyerere, wapi Jb, OPLA, Wastala,Wapi Bongo move?
wapi Johari, wapi nyerere, wapi Jb, OPLA, Wastala,Wapi Bongo move?