CCM wasaidieni Bongo movie

CCM wasaidieni Bongo movie

Mohamed Mbelwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
507
Reaction score
272
Toka mlipo watumia mwaka Jana kule mbeya kwenye sherehe zenu, Bongo move Wamepoteana hawathaminiki tena kwa watanzanzania ,nanyi mmeonyesha kuwatenga baada ya kuisha thamani , mwaka huu songea mmemtumia Diamond na kuwaacha wao. CCM hawa bongo move ni vijana wetu.

wapi Johari, wapi nyerere, wapi Jb, OPLA, Wastala,Wapi Bongo move?
 
CCM saidia wana fani wenzako - wasanii.
 
hivi bado wanatoa muvie kwan? au zimebaki stori huyu katoka na yule, mwingne kapga pcha za uch.i, huyu kafumaniwa!!
 
Nishaacha kununua kazi zao kwa ajili ya familia, wataona kwenye tv tu
 
Toka mlipo watumia mwaka Jana kule mbeya kwenye sherehe zenu, Bongo move Wamepoteana hawathaminiki tena kwa watanzanzania ,nanyi mmeonyesha kuwatenga baada ya kuisha thamani , mwaka huu songea mmemtumia Diamond na kuwaacha wao. Ccm hawa bongo move ni vijana wetu.

wapi Johari, wapi nyerere, wapi Jb, OPLA, Wastala,Wapi Bongo move?

We nani kakuweka uwe msemaji wa bongo muvi kwani??
Bongo muvi ni indastri inajiendesha yenyewe wala hatuhitaji utupigie debe.
 
Toka mlipo watumia mwaka Jana kule mbeya kwenye sherehe zenu, Bongo move Wamepoteana hawathaminiki tena kwa watanzanzania ,nanyi mmeonyesha kuwatenga baada ya kuisha thamani , mwaka huu songea mmemtumia Diamond na kuwaacha wao. Ccm hawa bongo move ni vijana wetu.

wapi Johari, wapi nyerere, wapi Jb, OPLA, Wastala,Wapi Bongo move?
Hukumsikia Kikwete alisema CCM sio chama cha usanii Diamond na Komba wanatosha wengine wanajisumbua tu.
 
hivi bado wanatoa muvie kwan? au zimebaki stori huyu katoka na yule, mwingne kapga pcha za uch.i, huyu kafumaniwa!!

Si ndo hao akina aunt Ezekiel wanatumiwa kama vivutio vya ndani vya utalii na akina Nyalandu kama viburudisho! Akina Cheni na Steve Nyerere wamekuwa makuwadi na madalali wa akina Lulu kwa akina Komba!

Bongo movie imekuwa Danguro kama madanguro mengine tu!
 
Niliwaonya lakini hawakusikia badalayake wakawa wanatoa kauli chafu.
 
Mkuu tangu waonekane mbeya mi nahangaika drama za kikorea! Kwa wana ukawa wapenz wa movie embu iangalien Giant ina medan kadhaa za kimapinduz
Toka mlipo watumia mwaka Jana kule mbeya kwenye sherehe zenu, Bongo move Wamepoteana hawathaminiki tena kwa watanzanzania ,nanyi mmeonyesha kuwatenga baada ya kuisha thamani , mwaka huu songea mmemtumia Diamond na kuwaacha wao. CCM hawa bongo move ni vijana wetu.

wapi Johari, wapi nyerere, wapi Jb, OPLA, Wastala,Wapi Bongo move?
 
Mwenye muvi alishakufa,wengine wote makopo na umalaya tu.
Walitumika kama kondom wakatupwa shame to them.
Bado haka kamwanamuziki,Katapotea tu.Walikuwepo bwana wakina Ferooz,Daz baba,Nature,Afande,Banza,Muumin nk wapo wap?
 
Si ndo hao akina aunt Ezekiel wanatumiwa kama vivutio vya ndani vya utalii na akina Nyalandu kama viburudisho! Akina Cheni na Steve Nyerere wamekuwa makuwadi na madalali wa akina Lulu kwa akina Komba!

Bongo movie imekuwa Danguro kama madanguro mengine tu!

Akyamungu?
 
walishindwa kujua kuwa wanapoonyesha upenzi kwa chama cha siasa hukondiko kujimaliza. nyimbo zote zilizogeuzwa za kusifia ccm uchaguzi wa 2010. asilimia kubwa ya wsanii waliokubali nyimbo zao kutumiwa na ccm wamekuwa choka mbaya. mimi hizo takataka za bongo muv. siitaji kuona kwangu hata za kuazima. tuwaache wafu wakazikane wenyewe.
 
JB ni muigizaji mzuri sana ila toka avunje amri ya 11, sina hamu ya kumtazama tena!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom