Ccm wapoteza Jimbo la kilindi

Ccm wapoteza Jimbo la kilindi

mwechaga

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
334
Reaction score
57
wananchi wa Jimbo la kilindi mkoani Tanga wameweka msimamo wakuto kumchagua mbunge wa ccm katka uchaguzi mkuu kwa kua mgombea huyo wa ccm hakua ni chaguo lao, wasema mgombea huyo alibebwa na viongozi wa ccm Wilaya ya kilindi, viongozi hao waliahidiwa kujengewa nyumba na mgombea huyo kitendo kinacho wafanya wananchi hao kukataa kumchagua mgombea wa ccm kwa kua hawawezi kuchagua kiongozi kwa maslahi ya watu wachache, hata hivyo aliye kua mgombea wa kura za maoni Jimbo la kilindi kada wa ccm Magawa Ndaro amehamia Chadema na amesha pendekezwa kugombea ubunge Jimbo la kilindi kwa tiket ya ukawa, katka Jimbo la kilindi ukawa wamefanikiwa kusimamisha wagombea udiwani katka kata zote 21.
 
Wananchi wote wenye akili timamu na walio na uchungu kwa mali zao zilizoibwa na mafisadi wa ccm kwa miaka zaidi ya 50 hawawezi kumchagua mgombea yeyote wa CCM. SIO KILINDI PEKE YAKE ILA NI TANZANIA NZIMA HATUITAKI TENA CCM,kura yetu ni kwa LOWASAA WA CHADEMA,UKAWA.
 
Unavuta ugoro we msemaji wa watu wa Kilindi?
 
Wananchi wote wenye akili timamu na walio na uchungu kwa mali zao zilizoibwa na mafisadi wa ccm kwa miaka zaidi ya 50 hawawezi kumchagua mgombea yeyote wa CCM. SIO KILINDI PEKE YAKE ILA NI TANZANIA NZIMA HATUITAKI TENA CCM,kura yetu ni kwa LOWASAA WA CHADEMA,UKAWA.

Akili za mifukoni hizi
 
Safi sana wana wa kilindi.saa ya ukombozi ni sasa.
 
Wananchi wote wenye akili timamu na walio na uchungu kwa mali zao zilizoibwa na mafisadi wa ccm kwa miaka zaidi ya 50 hawawezi kumchagua mgombea yeyote wa CCM. SIO KILINDI PEKE YAKE ILA NI TANZANIA NZIMA HATUITAKI TENA CCM,kura yetu ni kwa LOWASAA WA CHADEMA,UKAWA.

kasoro bagamoyo na chalinze
 
Ilitakiwa kufanywa hivi kwenye majimbo yote ya CCM.
 
wananchi wa Jimbo la kilindi mkoani Tanga wameweka msimamo wakuto kumchagua mbunge wa ccm katka uchaguzi mkuu kwa kua mgombea huyo wa ccm hakua ni chaguo lao, wasema mgombea huyo alibebwa na viongozi wa ccm Wilaya ya kilindi, viongozi hao waliahidiwa kujengewa nyumba na mgombea huyo kitendo kinacho wafanya wananchi hao kukataa kumchagua mgombea wa ccm kwa kua hawawezi kuchagua kiongozi kwa maslahi ya watu wachache, hata hivyo aliye kua mgombea wa kura za maoni Jimbo la kilindi kada wa ccm Magawa Ndaro amehamia Chadema na amesha pendekezwa kugombea ubunge Jimbo la kilindi kwa tiket ya ukawa, katka Jimbo la kilindi ukawa wamefanikiwa kusimamisha wagombea udiwani katka kata zote 21.

Mgombea wa UKAWA alishapatikana.Huyo aje kuongeza nguvu katika kampeni
 
Kila kata na.jimbo la ccm wamemaliza uchaguzi kwa hila na rushwa ....tegemea kura za hasira kwa lowasa
 
Wananchi wote wenye akili timamu na walio na uchungu kwa mali zao zilizoibwa na mafisadi wa ccm kwa miaka zaidi ya 50 hawawezi kumchagua mgombea yeyote wa CCM. SIO KILINDI PEKE YAKE ILA NI TANZANIA NZIMA HATUITAKI TENA CCM,kura yetu ni kwa LOWASAA WA CHADEMA,UKAWA.
nikweli ccm itaanguka Jimbo la kilindi sababu kuna wamasai, wamburu na wameru hawa hawawezi kuipigia kura ccm kamwe
 
Kila kata na.jimbo la ccm wamemaliza uchaguzi kwa hila na rushwa ....tegemea kura za hasira kwa lowasa

hizo kura za hasra zipo kila mahali na ndo zitakazo iangusha ccm
 
Back
Top Bottom