Ccm wapoteza Jimbo la kilindi

Ccm wapoteza Jimbo la kilindi

Jakaya akiingia madarakani tulikuway na Tembo wengi na Vifaru mpaka wanapita karibu na majumba yetu.
Leo anaondoka wanyama hao wamegeuka almasi,Ukienda kwenye hifadhi zetu bila darubini huwezi ona Tembo wala Kifaru.Utawala wa Ccm umeshindwa masikini kuwalinda.
Bado mwaka huu wanatuletea Magufuli tena wakijinasbu ikulu lazima warudi kwa njia yoyote ile,Watanzania tusikubali tena hawa watu watuongoze,This time ndio wanaenda kumalizia Vitembo na Vifaru vichahe tulivyobaki navyo.
Ikatae Ccm kwa faida ya vizazi vijavyo na rasilimali zetu.
Magufuli chini ya KINANA hata swala na Nyumbu tutawaona kwenye picha tu,October uwe mwisho wao na wanyama wetu wapone.

Cha kusikitisha na kuhuzunisha ni kuwa tembo wengi kwa sasa wanazaa wakati hawana pembe ama akiwa na pembe fupi fofauti na zamani,na hii ni kutokana na stress wanazozipata kutokana na kuwindwa na kuuawa.
Hii ni dhambi kwa watawala na viongozi wa vyama wanao fanya uwindaji na kuwaua hawa wanyama maana hapo nyuma baadhi ya tembo meno yao yalifikia uzito wa kilo 90 hadi 120/130 lakini kwa sasa sidhani kama waweza fikisha hata 50.
ONENI AIBU KUUA WANYAMA MAANA MUNGU ANA MAKUSUDI NAO.
MIJITU INA MISHAHARA MINONO LAKINI BADO INAFANYA UJANGIRI
 
Back
Top Bottom