Jakaya akiingia madarakani tulikuway na Tembo wengi na Vifaru mpaka wanapita karibu na majumba yetu.
Leo anaondoka wanyama hao wamegeuka almasi,Ukienda kwenye hifadhi zetu bila darubini huwezi ona Tembo wala Kifaru.Utawala wa Ccm umeshindwa masikini kuwalinda.
Bado mwaka huu wanatuletea Magufuli tena wakijinasbu ikulu lazima warudi kwa njia yoyote ile,Watanzania tusikubali tena hawa watu watuongoze,This time ndio wanaenda kumalizia Vitembo na Vifaru vichahe tulivyobaki navyo.
Ikatae Ccm kwa faida ya vizazi vijavyo na rasilimali zetu.
Magufuli chini ya KINANA hata swala na Nyumbu tutawaona kwenye picha tu,October uwe mwisho wao na wanyama wetu wapone.