Huyo mzee wenu Slaa amepishana na msimu. Hata kama anatumika inabidi awe na aibu, inamaana ufisadi anaoujua ni Richmond peke yake? Tegeta ESCROW, Epa, Kagoda, vivuko vibovu, mabehewa na vichwa vya treni feck n.k ni ni misamiati ya kichina kwamba havielewi? Mbona huyu mzee zuzu namna hii? Mbona wakIna Chenge, NGELEJA, Karamagi, TIBAIJUKA n.k.hawaongelei au kwa kuwa wamefunikwa na shuka CCM? Hivi Josephine ni muhimu kuliko mabadiliko? Mbona anakomaa kujifunika shuka tayari kumekucha? Ccm inawakodi vijana kwa ujira kiduchu kujifanya wanamuunga mkono Slaa ni UJINGA tutawapa MKONG'OTO MMITAANI MPAKA KIELEWEKE. MABADILIKO KWANZA. Adui yetu mkubwa ni MKOLONI MWEUSI ccm. TUTOKOMEZE HIKI KIRUSI.