Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,785
- 12,227
Baada ya kushuhudia uzinduzi wa kufana na kutisha wa kampeni za CHADEMA katika uchaguzi wa ubunge wa Arumeru Mashariki, CCM wameazimia kufanya kufuru katika uzinduzi wao wa kampeni jumatatu tarehe 12/03/2012 kwa kuigayote yaliyofanywa na CHADEMA leo kwa kufanya yafuatayo:
Hivyo CHADEMA wanatakiwa kukaza buti kwa kuwa wakipata fedha za mafisadi na ruzuku ya serikali watafunika Arumeru Mashariki.
- Kufanya live uzinduzi wao katika TV mbalimbali;
- Kusomba watu wengi kutoka katika wilaya zote za Arusha;
- Kuchangisha fedha nyingi kwa ajili ya kampeni kutoka kwa mafisadi;
- Kuwatumia viongozi wastaafu na maarufu katika kampeni zao; na
- Kufanya maonyesho ya helikopta katika maeneo yote watakayofanya kampeni;
Hivyo CHADEMA wanatakiwa kukaza buti kwa kuwa wakipata fedha za mafisadi na ruzuku ya serikali watafunika Arumeru Mashariki.