Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Katika video inayosambaa mitandaoni ikionyesha kundi la wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa katika harakati za kushusha bendera za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika maeneo mbalimbali ya Musoma.
Kwa mujibu wa maelezo yanayosikika kwenye video hiyo, hatua hiyo inadaiwa kuwa ni utekelezaji wa maelekezo kutoka Ofisi ya CCM Musoma, wakitaka bendera hizo ziondolewe kwa sababu chama hicho cha upinzani hakishiriki uchaguzi, na Samia— ambaye pia ni mgombea wa urais kupitia CCM — tangu jana Oktoba 9, 2025 amekuwa huko kufanya mkutano wa kampeni katika mkoa wa Mara.
Kwa mujibu wa maelezo yanayosikika kwenye video hiyo, hatua hiyo inadaiwa kuwa ni utekelezaji wa maelekezo kutoka Ofisi ya CCM Musoma, wakitaka bendera hizo ziondolewe kwa sababu chama hicho cha upinzani hakishiriki uchaguzi, na Samia— ambaye pia ni mgombea wa urais kupitia CCM — tangu jana Oktoba 9, 2025 amekuwa huko kufanya mkutano wa kampeni katika mkoa wa Mara.