swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,253
- 1,475
Ndugu wanajamvi kutokana na sintofahamu katika mchakato wa katiba ni dhahiri sada dr shein anaogopwa ndani ya ccm.
Miongoni mwa viogozi waliopendekezwa na Ukawa na viongozi na wasomi wengine katika kile kinachoitwa kunusuru mchakato wa katiba ni Rais JK wa Tanzania bara na Rais wa Zanziba dr Mohamedi shein kukaa pamija na kuzungumzia nusura hiyo.
Lakini katika hofu kubwa inayoonekana ni ccm kutokubali Dr shein kushirikishwa katika wajumbe watakaonusuru mchakato,je Dr Shein hakubaliani na CCM?au hofu ya ccm kutomshirikisha dr shein ni nini?
Miongoni mwa viogozi waliopendekezwa na Ukawa na viongozi na wasomi wengine katika kile kinachoitwa kunusuru mchakato wa katiba ni Rais JK wa Tanzania bara na Rais wa Zanziba dr Mohamedi shein kukaa pamija na kuzungumzia nusura hiyo.
Lakini katika hofu kubwa inayoonekana ni ccm kutokubali Dr shein kushirikishwa katika wajumbe watakaonusuru mchakato,je Dr Shein hakubaliani na CCM?au hofu ya ccm kutomshirikisha dr shein ni nini?