CCM wanamhujumu Lowassa

Walishindwa kuthibiyisha ndo maana wamenyamaza, weye unoendeleza kelele toa huo ushahidi, pia Wewe tukana tu wala hutotupandisha mori,
 
Lowassa ni madini ktk hii nchi kwa bahati mbaya tumeshindwa kumtumia, lkn atakumbukwa vizazi Na vizazi mtumishi huyu
uko sahihi kabisa, kuwa huyo jamaa ni mtendaji mzuri sana, tatizo lake anakashfa nyingi sana za kulihujumu taifa hii. hilo.
off topic; nimeimisi sana ile avatar yako!
 
Duhh hivi huyu jamaa ana nini muacheni aedelee kula neema alizojaaliwa
 
ujinga nikuamini maneno ya ccm kuwa alikataliwa na Nyerere,utafikiri Nyerere aliiumba dunia ya Tanzania na hao walio kubaliwa na Nyerere ndio yaliyo filisi na kuuza mali zote za watanzania,refer kilio cha mwalimu baada ya Mkapa kuuza NBC,alie kataliwa na Nyerere alisimamia na kuhakikisha Shinyanga,Kahama na mikoa yote jirani na kanda ya ziwa wanapata maji safi na salama,watoto wa masikini wanaenda shule kwa kuasisi ujenzi wa shule za kata kwa nguvu za wananchi wenyewe,na hizi shule zimekuwa mzigo nikwasababu waliopokea hiyo idea hawa kuwa na maono mapy,a hawa kuwa na mbinu mpya za kuhakikisha alipo ishia mzee Lowassa atakae mpokea aanzie wapi na kuhitimisha wapi,wao wakawa wanaenda tu,ndio tatizo lakuigilizia unacopy mpaka jina na sahihi ya jirani..!!Lowassa anamaona sana ni msaada mkubwa kwa taifa hili
 
uko sahihi kabisa, kuwa huyo jamaa ni mtendaji mzuri sana, tatizo lake anakashfa nyingi sana za kulihujumu taifa hii. hilo.
off topic; nimeimisi sana ile avatar yako!
 
Hata monduli hana umaalufu, hvi kunawatu bado wanataja hlo jina,? M nikilisikia tu na jua ndo mpigaji mkuu kuliko wote waliowahi kuwepo, na huenda hawatakuwepo..
Umaalufu ndio nini? hii ndio product ya shule za kata zilizochakachuliwa .Pole
 
ni u-Dr wa heshima aliopewa na chuo kikuu cha Berlin huko Ujerumani. Mbona JK kapewa u-Prof feki wa kichina hamsemi?
Jibu kwa hoja mkuu usitumie hisia za kuzungusha mikono
 
Hivi hela inayookolewq inaenda wapi si watugeie kitaa
 
Hivi hela inayookolewq inaenda wapi si watugeie kitaa
hela ya ufisadi wa rada ya chenge iliyorudishwa na uingereza ilipigwa na manyang'au wengine wa CCM. maCCM yameifanya nchi hii ni shamba la mama yao.
 
Acha kunywa "ukawa"
 
Lowassa (Waziri mkuu aliyejiuzuru kwa aibu) hakuwa muasisi Bali mtekelezaji na msimamizi wa sera na mpango Wa maendeleo Wa serikali ulioandaliwa kulingana na ilani ya chama chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…