habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,752
Walishindwa kuthibiyisha ndo maana wamenyamaza, weye unoendeleza kelele toa huo ushahidi, pia Wewe tukana tu wala hutotupandisha mori,swali hili kamanda ingekuwa busara kwanza ungewauliza Lissu Tundu ,Dr Slaa, team Mbowe yote bila kusahau Kubenea. hawa wazee walijigamba wana ushahidi wote kuwa Lowasa ni fisadi. rejea magazeti ya Kubenea, magazeti ya kiuchunguzi wa ukweli kama alivyojitapakaga. list of shame ikiandaliwa na nani kwani? ? na tueleze kwa nini iliondolewa kwwnye mtandao wa chadema yetu. msituchanganye makamanda tusije tukatoa matusi hapa
uko sahihi kabisa, kuwa huyo jamaa ni mtendaji mzuri sana, tatizo lake anakashfa nyingi sana za kulihujumu taifa hii. hilo.Lowassa ni madini ktk hii nchi kwa bahati mbaya tumeshindwa kumtumia, lkn atakumbukwa vizazi Na vizazi mtumishi huyu
Umaalufu ndio nini? hii ndio product ya shule za kata zilizochakachuliwa .PoleHata monduli hana umaalufu, hvi kunawatu bado wanataja hlo jina,? M nikilisikia tu na jua ndo mpigaji mkuu kuliko wote waliowahi kuwepo, na huenda hawatakuwepo..
Asante, m kiswahili nilipata f mkubwa,mUmaalufu ndio nini? hii ndio product ya shule za kata zilizochakachuliwa .Pole
Jibu kwa hoja mkuu usitumie hisia za kuzungusha mikononi u-Dr wa heshima aliopewa na chuo kikuu cha Berlin huko Ujerumani. Mbona JK kapewa u-Prof feki wa kichina hamsemi?
hatuhitaji darubini kuona haya madhaifu!Umaalufu ! Shule ya kata iliyochakachuliwa!
Acha kunywa "ukawa"Waziri Mkuu Mstaafu, Dr Edward Ngoyai Mollel Saitoti Ole Lowassa, ndiye alyekuwa kinara na muasisi wa shule za Kata. Pia alikuwa amekusudia baadaye kuanzisha Zahanati za Kata, kwamba kila Kata katika nchi hii iwe na Zahanati yake kwa ajili ya kuwahudumia wananchi wote.
Baada ya kugundua kwamba mikakati hii ingempaisha Dr Ngoyai kisiasa, CCM wakaamua kumuundia zengwe na hatimaye kumuangusha kutoka nafasi yake ya Uwaziri Mkuu kwa skandali feki ya Richmod. Hapa ndipo wakapata mwanya wa kuhujumu mikakati aliyokuwa ameiandaa Dr Lowassa kwa maslahi ya umma. Shule za kata alizozianzisha Dr Ngoyai zikatelekezwa na kuachwa solemba.
Badala ya kuboresha shule hizi, CCM wakaanza kuchakachua mfumo wa utahini kutoka madaraja ya awali na kuanzisha mfumo kanyaboya wa GPA. Lengo lilikuwa ni kuharibu kabisa mfumo wa elimu ili shule za Lowassa za Kata zionekane si lolote wala chochote, na hakika wamefanikiwa kuvuruga mfumo wa elimu yetu kwa hasara ya wananchi. Hapa ndipo serikali ya CCM ilipolifikisha taifa hili. Tazama jinsi wanafunzi wa shule za Kata walivyofeli mitihani yao ya mwaka 2015! Zaidi ya 98% ya wanafunzi wa shule hizi wamepata madaraja ya IV na 0!
Haya ni matunda ya CCM na serikali yao. Walilenga kumdhoofisha Lowassa kisiasa lakini wanaoumia ni watoto wa walalahoi wasiokuwa na uwezo wa kusoma kwenye shule za Akademi huku watoto wao wakisoma Ulaya na Marekani. Ipo siku kitakuja kunuka katika nchi hii, na hapo ndipo tutakapokuja kuheshimiana. Kumbuka kwamba chokochoko humchokoa pweza. Hizi chokochoko za CCM iko siku zitakuja kuwachokoa wananchi wenye hasira na kusababisha taharuki isiyokuwa ya lazima katika nchi hii ya Tanganyika.
Lowassa (Waziri mkuu aliyejiuzuru kwa aibu) hakuwa muasisi Bali mtekelezaji na msimamizi wa sera na mpango Wa maendeleo Wa serikali ulioandaliwa kulingana na ilani ya chama chakeWaziri Mkuu Mstaafu, Dr Edward Ngoyai Mollel Saitoti Ole Lowassa, ndiye alyekuwa kinara na muasisi wa shule za Kata. Pia alikuwa amekusudia baadaye kuanzisha Zahanati za Kata, kwamba kila Kata katika nchi hii iwe na Zahanati yake kwa ajili ya kuwahudumia wananchi wote.
Baada ya kugundua kwamba mikakati hii ingempaisha Dr Ngoyai kisiasa, CCM wakaamua kumuundia zengwe na hatimaye kumuangusha kutoka nafasi yake ya Uwaziri Mkuu kwa skandali feki ya Richmod. Hapa ndipo wakapata mwanya wa kuhujumu mikakati aliyokuwa ameiandaa Dr Lowassa kwa maslahi ya umma. Shule za kata alizozianzisha Dr Ngoyai zikatelekezwa na kuachwa solemba.
Badala ya kuboresha shule hizi, CCM wakaanza kuchakachua mfumo wa utahini kutoka madaraja ya awali na kuanzisha mfumo kanyaboya wa GPA. Lengo lilikuwa ni kuharibu kabisa mfumo wa elimu ili shule za Lowassa za Kata zionekane si lolote wala chochote, na hakika wamefanikiwa kuvuruga mfumo wa elimu yetu kwa hasara ya wananchi. Hapa ndipo serikali ya CCM ilipolifikisha taifa hili. Tazama jinsi wanafunzi wa shule za Kata walivyofeli mitihani yao ya mwaka 2015! Zaidi ya 98% ya wanafunzi wa shule hizi wamepata madaraja ya IV na 0!
Haya ni matunda ya CCM na serikali yao. Walilenga kumdhoofisha Lowassa kisiasa lakini wanaoumia ni watoto wa walalahoi wasiokuwa na uwezo wa kusoma kwenye shule za Akademi huku watoto wao wakisoma Ulaya na Marekani. Ipo siku kitakuja kunuka katika nchi hii, na hapo ndipo tutakapokuja kuheshimiana. Kumbuka kwamba chokochoko humchokoa pweza. Hizi chokochoko za CCM iko siku zitakuja kuwachokoa wananchi wenye hasira na kusababisha taharuki isiyokuwa ya lazima katika nchi hii ya Tanganyika.
ningeshangaa usingekuja.Politically, Lowassa is finished.