CCM wanajichimbia kaburi Zanzibar

CCM wanajichimbia kaburi Zanzibar

Wapite hiv!!! Ccm kutawala bara inatosha!! Kwanza wanaubaguz wa rangi
 
umesomaje kama cjui kuandika, acha dharau weye ukawa meishiwa hamna cha maana mnatafuta vicingizio huko zanzibar wale wana raic wao pia katiba


Kama wana Raisi wao na katiba yao sasa majeshi yetu yanafanya nini huko na ni nani alipanga Dr Shein awe rais wa Zanzibar kumbuka 2010 hakujaza kuomba kuwa rais wa Zanzibar! !!!. Labda kama unasumbuliwa ushabiki wa kikada
 
umesomaje kama cjui kuandika, acha dharau weye ukawa meishiwa hamna cha maana mnatafuta vicingizio huko zanzibar wale wana raic wao pia katiba
Kama zanzibar ni nchi jirani majeshi yetu yanafanya nini huko? Wapewe uhuru wao kisha tuseme hayatuhusu.
 
Mpaka sasa wazanzibar wote wameshakuwa na hasira ya 1) Kutokuthaminiwa uhuru wao wa maoni 2) Kudharaulika ndani ya muungano kwani mpaka sasa serikali mpaka kwenye bunge wameshafanya karibu mambo yote bila kujali kama Zanzibar ina serikali ama la. 3) Kukandamizwa na vyombo vya dola.

Sasa kutokana na hayo inaonesha kabisa wazanzibar wanaenda kupiga kura za hasira ili kuiondoa CCM madarakani kwa nguvu zote na ihakikishe kwamba inarejesha uhuru wake na thamani ya raia wa Zanzibar. Na kwa hasira za wazanzibar kwa sasa sina hakika kama amani itaendelea kuwepo kama CCM itajaribu kuhodhi machaguo ya wananchi.

Kwa ufupi CCM imefanya kosa kubwa la kihistoria bila kufikiri na pasipo kujua. Imewapa wazanzibar sababu ya kuungana kwa pamoja kupigania uzanzibar wao and believe me wazanzibar sasa ni wamoja kuliko mda wowote ule. Na ni suala la mda tu. Baada ya miezi 4 au 5 kutoka sasa CCM zanzibar itakuwa ndani ya lile jumba la makumbusho pale forodhani.
. ccm is doomed
 
we kazana tu kuitetea zanzibar uckute hata mia mfukon hauna piga kaz bect ya zenji waachie wenyewe watamalizana tu
Tanzania tulitetea uhuru wa biafra kutoka nigeria wakati africa yote ilipinga. Tulitetea ukombozi kusini mwa africa. Kuna ubaya gani tukiwatetea ndugu zetu wazenj wanaponyimwa haki ya kumchagua kiongozi wamtakae?
 
Ombi langu kwa Mungu aitazame Zanzibar
It is very true.

Hiki ni kipindi kigumu sana ambacho nchi yetu kinapitia.

Kila mtu hivi sasa anajua kuwa Jecha 'aliamriwa' na watawala aufute uchaguzi ule uliofanyika tarehe 25/10/2015 baada ya watawala hao kugundua kuwa Maalim Srif amembwaga vibaya mgombea mwenzake wa Urais wa CCM Dr Shein.

Huu uchu wa madaraka wa wahafidhina ndani ya CCM na kujiona wao kuwa ndiyo wamepewa hati miliki na Mwenyezi Mungu, ya kuitawala nchi hii hadi mwisho kunaweza kuifikisha nchi hii mahali pabaya sana.
 
umesomaje kama cjui kuandika, acha dharau weye ukawa meishiwa hamna cha maana mnatafuta vicingizio huko zanzibar wale wana raic wao pia katiba
Kweli CCM ni majanga.

Wewe gamba hata kuandika kunakushinda, hivi hiyo hoja utawezaje kuijenga?!
 
Mpaka sasa wazanzibar wote wameshakuwa na hasira ya 1) Kutokuthaminiwa uhuru wao wa maoni 2) Kudharaulika ndani ya muungano kwani mpaka sasa serikali mpaka kwenye bunge wameshafanya karibu mambo yote bila kujali kama Zanzibar ina serikali ama la. 3) Kukandamizwa na vyombo vya dola.

Sasa kutokana na hayo inaonesha kabisa wazanzibar wanaenda kupiga kura za hasira ili kuiondoa CCM madarakani kwa nguvu zote na ihakikishe kwamba inarejesha uhuru wake na thamani ya raia wa Zanzibar. Na kwa hasira za wazanzibar kwa sasa sina hakika kama amani itaendelea kuwepo kama CCM itajaribu kuhodhi machaguo ya wananchi.

Kwa ufupi CCM imefanya kosa kubwa la kihistoria bila kufikiri na pasipo kujua. Imewapa wazanzibar sababu ya kuungana kwa pamoja kupigania uzanzibar wao and believe me wazanzibar sasa ni wamoja kuliko mda wowote ule. Na ni suala la mda tu. Baada ya miezi 4 au 5 kutoka sasa CCM zanzibar itakuwa ndani ya lile jumba la makumbusho pale forodhani.
Mkuu Wazanzibari unaowaongelea ni wapemba na waunguja kwa ujumla wao?vipi kuhusu machotara?leo mtajiita wazanzibari na kesho mtajiita wapemba na keshokutwa mtajiita machotara..lengo lenu ni nini?
 
Mungu iangazie zzbr, ukwel na uongo hujitenga daima
 
Back
Top Bottom