Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,919
Ndugu yangu wewe umesahau dharau za CCM ghafla ? Wanatumia uwingi wao kuteletea maamuzi yao. Yaani wakisha amua hata sisi tuseme vipi mtaani CCM watafanya .Kumbuka haya na Muhusika
1. Sheria ya mtandao imekuja kwa uoga wao kuelekea uchaguzi mkuu kuwakomoa wasema ukweli . Makamba hatakiwi kupona . UKAWA na wananchi hangaikeni naye hadi apoteze Ubunge ndiyo atajua ubaya wa alicho kisimamia.
2. Gharama za simu kuwa juu wakati kwingine zinashuka pamoja na mkongo wa Taifa kuwa tayari . Kupiga simu toka nje ya Nchi kuja Tanzania it is over 20 euro cents per minute wakati Kenya ni 4 euro cents.
3.Escrow imepindwa sasa ni halali
4.Katiba yetu hadi sasa ni kizungumkuti tulisema lakini wao wakakataa .
On a serious note ndiyo muda wa kuhangaika na CCM . Wakataeni huko mitaani kwenu . Kataa kila mgombea wa CCM kwa kasi kuwa maana ndiyo sehemu pekee tunaweza kusema . Najua kua wizi wa Kura nk lakini tukiwakataa kwa wingi watashindwa na hivyo CCM itakaa pembeni .
Wanasema sheria irudi Bungeni kurekebishwa itakuwa ni kumchosha Lissu maana watasema ndiyooooooooooo kama kawaida yao hata bila ya kusoma na tunarudi pale pale .
Waadhibuni Oktoba ndiyo njia pekee .
1. Sheria ya mtandao imekuja kwa uoga wao kuelekea uchaguzi mkuu kuwakomoa wasema ukweli . Makamba hatakiwi kupona . UKAWA na wananchi hangaikeni naye hadi apoteze Ubunge ndiyo atajua ubaya wa alicho kisimamia.
2. Gharama za simu kuwa juu wakati kwingine zinashuka pamoja na mkongo wa Taifa kuwa tayari . Kupiga simu toka nje ya Nchi kuja Tanzania it is over 20 euro cents per minute wakati Kenya ni 4 euro cents.
3.Escrow imepindwa sasa ni halali
4.Katiba yetu hadi sasa ni kizungumkuti tulisema lakini wao wakakataa .
On a serious note ndiyo muda wa kuhangaika na CCM . Wakataeni huko mitaani kwenu . Kataa kila mgombea wa CCM kwa kasi kuwa maana ndiyo sehemu pekee tunaweza kusema . Najua kua wizi wa Kura nk lakini tukiwakataa kwa wingi watashindwa na hivyo CCM itakaa pembeni .
Wanasema sheria irudi Bungeni kurekebishwa itakuwa ni kumchosha Lissu maana watasema ndiyooooooooooo kama kawaida yao hata bila ya kusoma na tunarudi pale pale .
Waadhibuni Oktoba ndiyo njia pekee .