Charles kikoti
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 461
- 121
Wakuu,
Siku zinavyoenda ndivyo CCM inavyotoa makombora yake (unleash new weapons)... Cha kushangaza UKAWA wanasema "tupuuze" ila kimsingi hizi dozi zinazo tolewa hazivumiliki.
Leo Makamba kamwaga mboga...kumbe Lowassa alikatwa 1995 baada ya kukutwa na Mali zisizo elezeka!!
Kumbe Lowassa ana mashamba makubwa.. Kuyakagua hadi upande helicopter!!
Kumbe Lowassa hakupigana vita ya iddi amini!!
Kumbe dada yake Lowassa kachukua tenda zote za halmashauri ya Monduli!!
Kumbe Lowassa hakerwi na masikini ana kerwa na umasikini wake!!
Kumbe Sumaye ni kabaila, anamashamba mengi mkoloni wa kingereza.!!
Na bado Makamba, kasema kaacha akiba. Najua akiba ataenda kuimalizia Tanga.
Kiukweli haya makombora ni mazito na kiukweli ukawa kwa sasa tumeshikwa pabaya.
Tujipange tena 2020, kwa sasa magufuli kesha fika ikulu.... Naona mkuu wa nchi naye yuko naye bega kwa bega anazidi kuumpa nondo Magufuli.
Wakuu,
Siku zinavyoenda ndivyo CCM inavyotoa makombora yake (unleash new weapons)... Cha kushangaza UKAWA wanasema "tupuuze" ila kimsingi hizi dozi zinazo tolewa hazivumiliki.
Leo Makamba kamwaga mboga...kumbe Lowassa alikatwa 1995 baada ya kukutwa na Mali zisizo elezeka!!
Kumbe Lowassa ana mashamba makubwa.. Kuyakagua hadi upande helicopter!!
Kumbe Lowassa hakupigana vita ya iddi amini!!
Kumbe dada yake Lowassa kachukua tenda zote za halmashauri ya Monduli!!
Kumbe Lowassa hakerwi na masikini ana kerwa na umasikini wake!!
Kumbe Sumaye ni kabaila, anamashamba mengi mkoloni wa kingereza.!!
Na bado Makamba, kasema kaacha akiba. Najua akiba ataenda kuimalizia Tanga.
Kiukweli haya makombora ni mazito na kiukweli ukawa kwa sasa tumeshikwa pabaya.
Tujipange tena 2020, kwa sasa magufuli kesha fika ikulu.... Naona mkuu wa nchi naye yuko naye bega kwa bega anazidi kuumpa nondo Magufuli.
Wakuu,
Siku zinavyoenda ndivyo CCM inavyotoa makombora yake (unleash new weapons)... Cha kushangaza UKAWA wanasema "tupuuze" ila kimsingi hizi dozi zinazo tolewa hazivumiliki.
Leo Makamba kamwaga mboga...kumbe Lowassa alikatwa 1995 baada ya kukutwa na Mali zisizo elezeka!!
Kumbe Lowassa ana mashamba makubwa.. Kuyakagua hadi upande helicopter!!
Kumbe Lowassa hakupigana vita ya iddi amini!!
Kumbe dada yake Lowassa kachukua tenda zote za halmashauri ya Monduli!!
Kumbe Lowassa hakerwi na masikini ana kerwa na umasikini wake!!
Kumbe Sumaye ni kabaila, anamashamba mengi mkoloni wa kingereza.!!
Na bado Makamba, kasema kaacha akiba. Najua akiba ataenda kuimalizia Tanga.
Kiukweli haya makombora ni mazito na kiukweli ukawa kwa sasa tumeshikwa pabaya.
Tujipange tena 2020, kwa sasa magufuli kesha fika ikulu.... Naona mkuu wa nchi naye yuko naye bega kwa bega anazidi kuumpa nondo Magufuli.
Wakuu,
Siku zinavyoenda ndivyo CCM inavyotoa makombora yake (unleash new weapons)... Cha kushangaza UKAWA wanasema "tupuuze" ila kimsingi hizi dozi zinazo tolewa hazivumiliki.
Leo Makamba kamwaga mboga...kumbe Lowassa alikatwa 1995 baada ya kukutwa na Mali zisizo elezeka!!
Kumbe Lowassa ana mashamba makubwa.. Kuyakagua hadi upande helicopter!!
Kumbe Lowassa hakupigana vita ya iddi amini!!
Kumbe dada yake Lowassa kachukua tenda zote za halmashauri ya Monduli!!
Kumbe Lowassa hakerwi na masikini ana kerwa na umasikini wake!!
Kumbe Sumaye ni kabaila, anamashamba mengi mkoloni wa kingereza.!!
Na bado Makamba, kasema kaacha akiba. Najua akiba ataenda kuimalizia Tanga.
Kiukweli haya makombora ni mazito na kiukweli ukawa kwa sasa tumeshikwa pabaya.
Tujipange tena 2020, kwa sasa magufuli kesha fika ikulu.... Naona mkuu wa nchi naye yuko naye bega kwa bega anazidi kuumpa nondo Magufuli.
Safari hii mtajua kuwa mitandao mnaoitumia ki propaganda haifai kabisa. Watu wameamua kuwa na Rais muadilifu. Halafu pamoja na shtuka zao na mikakati ya kupinga kuweka Rais msafi watasoma namba tu. Tunasema wirhin the first 5years tutakuwa kwenye uchumi wa kati.
Wamehodhi maeneo mengi mno. Haya yaliyotajwa ni kidogo mno.
CCM mbele kwa mbele....mtaisoma namba
Sawa. Ila hilo ni kosa kubwa sana. Km huyo Lowasa ana mambo yote hayo kwa nini hamkumshitaki? Kwa nini hamkumnyanganya? Au akiwa mwenzenu mnakaa kimya akitoka ndio mnasema? Hii ina maana wanaccm wengi wana madhambi lakini kwa kuwa wapo ndani mbawafichia? Nini kiliwazuia siku zote kuraifisha mali zao ambazo mbasema hazina maelezo? Kwa nini mkae na mtu mvhafu mpaka aondoke mwenyewe ndio muanze kumsema?
Kura kwa fisadi lowassa hakuna namna.
Tunamtaka aliyejitosheleza kama yeye.
Mtanyooka tu mwaka huu ccm mbele
ukawa wameshakuwa ukiwa
Ukiwa wana tabu sana ...yaani kabla hawajasafisha vurumai la Dr Slaa ...Mzee makamba anaongezea taharuki.
Mtanyooka tu mwaka huu ccm mbele
Labda wamekushika wewe. Wenzio tunasongaga mbele mwanawane!