AK-47
JF-Expert Member
- Nov 12, 2009
- 1,373
- 199
Hili nadhani tuwaachie wanachama wa CCM, hela zao sisi zinatuhusu nini?
Nani kwakuambia ni hela zao..CCM inafanya biashara gani mpaka iwe na hela zote hizo umiza kichwa ndugu
Hili nadhani tuwaachie wanachama wa CCM, hela zao sisi zinatuhusu nini?