CCM wamepanga hili - read

Parata

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
3,090
Reaction score
692
Najua wapenda maendeleo wote tunajua ubaya wa CCM na viongozi wake,sasa wamepanga kuleta video inaonesha viongozi wa CHADEMA wakipanga kufanya fujo kama alivosema Mwigulu,si kwamba video hyo itakua na ukwel hapana ila kuna teknolojia itatmika ya editing na itarushwa katika vyombo vya habar na itasambazwa,narudia si video ya kweli ila ujanja wa hali ya juu umetumika ili kuwaaminisha watanzania.na weng wataamini..najua hili litatolewa ufafanuzi zaidi na wataalamu wa software zinazohusika.ila makamanda jiandaeni kwa hli
Take that
 

Umeteuliwa lini kuwa mrithi wa Yahaya Hussein?
 
Duh! Kwa Mwigulu hili linwezekana yangu macho.
 
Na wao wajiandae kushitakiwa naomba CDM kama litatokea hili tusilivumilie tuchukue hatua stahili ili iwe fundisho kwa atakaye fanya kitu hicho kuanzia msambazaji na vituo vitakavyoonyesha.

hakuna haja wao wakitoa vipande vpande vya u edit, dawa yake wewe toa nzima kama ilivyo utakuwa umeumbua kesho hawatarudia tena dawa ya freedom of speech is more freedom of speech ili watu wapate picha ya uhakika.
 
Ubishi ni mbaya let us discus tfanyeje,tambueni kuna hilo wako plz plz plz
Mnaosema sheikh yahya endeleeni ila tambueni nimesema
 
hakuna haja wao wakitoa vipande vpande vya u edit, dawa yake wewe toa nzima kama ilivyo utakuwa umeumbua kesho hawatarudia tena dawa ya freedom of speech is more freedom of speech ili watu wapate picha ya uhakika.

!shu ni je huwa tnaweka kumbukumbu?
 
Watanzania hawadanganywi tena na wezi na mafisadi ambao wanatumia vibaya Mali za wananchi kupambana na watetezi wa wanyonge, hawalali usiku kucha wanapanga uzushi na uongo wa kuwadanganya watanzania badala ya kushughulikia kero zinazowatesa wananchi. Mwisho wenu umefika hamuwezi kushinda nguvu ya umma kwa kelele kama za mwigulu.
 

 

 
that's very possible! i have the same feeling that kuna mchezo mchafu sana unapangwa ndani ya ccm kutoa pigo moja takatifu la kuichafua cdm. its a strange feeling... i think u may be right!
 
hawa magamba nao hawaishi visa,wao wanajifananisha na mfalme juha kwamba watatawala daima au?nini maana ya demokrasia sasa,wenyewe watulie wasubiri 2015 ndo mwamuzi wa mwisho bhana.
 
NI Mwaka wa nguvu ya umma watapata majibu yake
 

hata
wakileta wataumbuka bure, chezea chadema weye? alikuwa mwigulu hapa
oooh mbowe nkantumia msg yakuntishia maisha ooh mara nn, chadema inawatu
smart sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…