Kama alivyo mwanadamu yeyote, ukifika wakati wa kufa hata ukikimbilia wapi kufa utakufa tu. CCM nayo imefikia katika wakati kama huo, wawafukuze mawaziri au wasiwafukuze kufa ni lazima watakufa tu, wapige kura ya kutokuwa na imani na serikali au wasipige kufa watakufa tu,watumie mahakama au vyombo vya dola kufa watakufa tu. Hapa tulikofika ni kutamu kupita maelezo, kwani hawatoki kwa namna yeyote. Kubwa ni kila mtz mzalendo wa kweli ku-play part kwenye M4C, kwa namna yeyote mf.michango ya fedha, kuzungunza na mtu mmoja mmoja juu ya umuhimu wa mabadiliko sasa,mitandao ya jamii kuelimisha umma n.k.