Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
Kwa kweli CCM Arusha wamechakachua makusudi! Kwani na Kahama Shinyanga ni yale yale. CHADEMA wa kuchaguliwa madiwani 5, CUF 1, TLP 1, CCM 3 na mbunge 1 (Lembeli anayeishi Arusha, Kahama anafikia guest house). Cha ajabu Mkurugenzi wilaya anapanua mipaka ya mamlaka ya mji ili kuongeza na madiwani wa vijijini. Uchaguzi bado demokrasia inabakwa ili mapato ya migodi ya Buzwagi na Kakola iwe yao. Tunasubiri tuandamane kama Misri. Nawasilisha