CCM wakubali umuhimu wa katiba mpya

wilcoxon

JF-Expert Member
Jun 25, 2017
1,094
2,831
Mpaka sasa ni dhahiri kuwa katiba mpya inayotakiwa kulinda rasilimali za nchi haizuiliki na wala halipaswi kuwa ombi tena, mikataba yote inayohusu rasilimali za nchi ijadiliwe bungeni tena 'live' kabla ya kusainiwa, kwa jinsi ripoti mbalimbali zinavyoibua uozo mbalimbali wa huko nyuma ni makosa makubwa kuamini na kumkabidhi mtu mmoja au wawili mamlaka ya kufanya maamuzi makubwa ktk wizara ambayo yanaweza kuligharimu taifa.

Hatujui atakayefuata baada ya Magufuli, hivyo katika mazingira ya aina hiyo, ambayo viongozi wengi siyo waaminifu, njia pekee ya kuwadhibiti ni kuboresha mfumo wa kuwabana, kuwashauri na kuwaelekeza kabla hawajafanya maamuzi makubwa kama kusaini mikataba gizani kwa niaba ya taifa, hapo ndipo kuna tatizo kubwa ktk mikataba ya nchi hii maana huko gizani lolote hutokea.

Hata wawekezaji wa kimataifa wanapenda mikataba ya gizani kama ule mkataba wa buzwagi uliosainiwa na Karamagi kule Marekani, maana ktk giza ndipo hawa wawekezaji hutumia mwanya huo kupenyeza vifungu vinavyowalinda.

[HASHTAG]#CCMMpya[/HASHTAG] inatakiwa ianze kuwekeza nguvu ktk hili eneo ikiwa ni mpango wa muda mrefu wa kuijenga Tanzania mpya. Binafsi ripoti ya leo kuhusu madini ya Tanzanite imenisikitisha sana.

Magoiga SN (huyu ni kada mtiifu wa chama cha mapinduzi)
 
Mpaka sasa ni dhahiri kuwa katiba mpya inayotakiwa kulinda rasilimali za nchi haizuiliki na wala halipaswi kuwa ombi tena, mikataba yote inayohusu rasilimali za nchi ijadiliwe bungeni tena 'live' kabla ya kusainiwa, kwa jinsi ripoti mbalimbali zinavyoibua uozo mbalimbali wa huko nyuma ni makosa makubwa kuamini na kumkabidhi mtu mmoja au wawili mamlaka ya kufanya maamuzi makubwa ktk wizara ambayo yanaweza kuligharimu taifa.

Hatujui atakayefuata baada ya Magufuli, hivyo katika mazingira ya aina hiyo, ambayo viongozi wengi siyo waaminifu, njia pekee ya kuwadhibiti ni kuboresha mfumo wa kuwabana, kuwashauri na kuwaelekeza kabla hawajafanya maamuzi makubwa kama kusaini mikataba gizani kwa niaba ya taifa, hapo ndipo kuna tatizo kubwa ktk mikataba ya nchi hii maana huko gizani lolote hutokea.

Hata wawekezaji wa kimataifa wanapenda mikataba ya gizani kama ule mkataba wa buzwagi uliosainiwa na Karamagi kule Marekani, maana ktk giza ndipo hawa wawekezaji hutumia mwanya huo kupenyeza vifungu vinavyowalinda.

[HASHTAG]#CCMMpya[/HASHTAG] inatakiwa ianze kuwekeza nguvu ktk hili eneo ikiwa ni mpango wa muda mrefu wa kuijenga Tanzania mpya. Binafsi ripoti ya leo kuhusu madini ya Tanzanite imenisikitisha sana.

Magoiga SN (huyu ni kada mtiifu wa chama cha mapinduzi)
Katiba mpya itapatikana baada ya akin Mkapa, Kikwete Magufuli kufa kwani wanaogopa Watakuwa Segerea asbuhi saa kumi na mbili
 
Hushangai Magu mwenyewe hana habari na katiba mpya?

Haya ni maigizo tu ila tambui ni ile ile.

Wabongo tuna mavichwa magumu kweli!!
Magufuli hii kitu hataki hata kuisikia, sababu anajua ndiyo itakuwa safari yake ya mwisho na hapo hakuna cha ujanja wakina Lubuva.
 
Hawawezi kuona umuhimu wake mpaka pale Mungu atakapotenda miujiza na kuwageuza kuwa wapinzani, hata ile rasimu ya warioba iko kwa dustbin, wajumbewake ndio hao wamekuwa watetezi Wa hiki chama, wamesahau walichokua wanakipigania
 
Ni bora uwe Katikati kwenye mstari wa gwaride

Ukisikia nyumaaa geuka ujue wa kwanza ndio huwa wa mwisho.

Wakati wa kati kati atabaki hapo hapo

Ngoja tuone
 
Hawawezi kuona umuhimu wake mpaka pale Mungu atakapotenda miujiza na kuwageuza kuwa wapinzani, hata ile rasimu ya warioba iko kwa dustbin, wajumbewake ndio hao wamekuwa watetezi Wa hiki chama, wamesahau walichokua wanakipigania
acha kusingizia Mungu
 
Mpaka sasa ni dhahiri kuwa katiba mpya inayotakiwa kulinda rasilimali za nchi haizuiliki na wala halipaswi kuwa ombi tena, mikataba yote inayohusu rasilimali za nchi ijadiliwe bungeni tena 'live' kabla ya kusainiwa, kwa jinsi ripoti mbalimbali zinavyoibua uozo mbalimbali wa huko nyuma ni makosa makubwa kuamini na kumkabidhi mtu mmoja au wawili mamlaka ya kufanya maamuzi makubwa ktk wizara ambayo yanaweza kuligharimu taifa.

Hatujui atakayefuata baada ya Magufuli, hivyo katika mazingira ya aina hiyo, ambayo viongozi wengi siyo waaminifu, njia pekee ya kuwadhibiti ni kuboresha mfumo wa kuwabana, kuwashauri na kuwaelekeza kabla hawajafanya maamuzi makubwa kama kusaini mikataba gizani kwa niaba ya taifa, hapo ndipo kuna tatizo kubwa ktk mikataba ya nchi hii maana huko gizani lolote hutokea.

Hata wawekezaji wa kimataifa wanapenda mikataba ya gizani kama ule mkataba wa buzwagi uliosainiwa na Karamagi kule Marekani, maana ktk giza ndipo hawa wawekezaji hutumia mwanya huo kupenyeza vifungu vinavyowalinda.

[HASHTAG]#CCMMpya[/HASHTAG] inatakiwa ianze kuwekeza nguvu ktk hili eneo ikiwa ni mpango wa muda mrefu wa kuijenga Tanzania mpya. Binafsi ripoti ya leo kuhusu madini ya Tanzanite imenisikitisha sana.

Magoiga SN (huyu ni kada mtiifu wa chama cha mapinduzi)
MAJUTO SIKU ZOTE NI MJUKUU NA HATA MIMI NINGEKUWA RAIS KWA SASA KATIBA MPYA ISINGEKUWA PRIORITY?? TULIPOTEZA MABILIONI NA KWA SASA HAYO MABILIONI YANATAKIWA KUJENGA NCHI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom