CCM wakishinda nitafanya vifuatavyo

CCM wakishinda nitafanya vifuatavyo

Shobi

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2015
Posts
3,401
Reaction score
4,371
Watoto wangu nitawaamishia nje ya nchi sitaruhusu wachanganyikan na watoto wasio na maono nitapandisha bei niweze kulipa kodi sitatoa mkopo hata aje nani?

Nikipata dili yoyote hata ufisadi napiga. Nitarudi CCM nilindwe kama wengine. Sitakubali hasara jukumu hilo watabeba watanzania. Mtu yoyote atayelalamika ntamcheki sana

Sioni kipya ndan ya CCM.
 
mpaka dakika hii kuna sababu mbili tu uweze kuipigia ccm. moja ni uwe na mtindio wa ubongo hufikiri vizuri. pili uwe na maslahi ya kiuchumi ya moja kwa moja na ccm.
 
hama nchi kabisa kwani lazima uishi Tanzania unakosema watu wana mtindio wa ubongo kama ccm ikishinda?..inawezekana ulikulia rwanda rudi kwenu! We ni mbinafsi wala huna mawazo ya kikombozi kama hutambui kuwa ukombozi wa fikra ni mchakato wa mikakati ya ushawishi wala sio muujiza au kulazimisha.
 
ha ha ha dah! uzalendo upo wapi we jikusanyie tu kwa maono yako!

ww upo usingizin, viongozi wako wa ccm wanauzalendo same to me siwez kujipendekeza kwenu kutaka kuwaonyesha uzalendo kama ufumo unaruhusu nifanyeje???
 
Watu hawajielewi kabisa et hapa kaz tu.....unajua kaz wanayomaanisha au unashabikia tu ccm.......mbafu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom