Mapokezi ya wajumbe wa sekretarieti ya CCM yafanya muda huu Uwanja wa Bahresa Manzese, kama kawaida vikundi vya wasainii wakiongozwa na TOT wanaburudisha.
Nape ni star wa mchezo anatoa burudani na TOT
Mapokezi ya kufa mtu yatakuwa jioni hii huku Lumumba.
Nape ni star wa mchezo anatoa burudani na TOT
Mapokezi ya kufa mtu yatakuwa jioni hii huku Lumumba.