Niko eneo la tukio hapahapa kufuatilia kinacho endelea. Ila ccm mna mfumo wa ajabu sana! hawawajumbe ninao waona hapa karibu wote wameletwa kwa fedha za mwana mfalme!!! kulikuwa na haja ya hizi kura za maoni kweli wakati dogo anabebwa na mfumo mzima wa serikali na chama?
Kumbe ni huko Chalinze! Watoto watakuwa wamefurahi sana kupata likizo.... Japo sio fair kbs
samani mkuu,nikikomenti
hapa nitakuwa mjinga kuliko hata hao waliowatoa watoto shule kwa ajili
ya manufaa yao binafsi
Hoja zingine sioni kama zinamantiki ni kama za kilevi hivi imejaa uongo na ushabiki wa wazi kabisa.
unatumia simu mjengoni? Halafu mkuu ukipata posho hebu ntupie kwnye ile no yangu nkapate hata kitimoto! Kizuri kula na nduguyo mwenzio jk kanitosa bungeni!!!hoja zingine sioni kama zinamantiki ni kama za kilevi.
kwani uteuzi unafanyika kwenye maarasa yote a kwenye ukumbi mmoja tu?
Ni shule gani za kata Tz zina kumbi?
Na matokeo ya Form 4 Shule hii ni kama haya halafu wanakatishwa masomo kisa uteuzi wa RIDHWANI KIKWETE.Pia hii inaonyesha jinsi watu hawa wasivyopenda na kuthamini elimu kwani MWANAASHA ambae alikuwa shule nzuri na ya gharama kubwa(FEZA) aliambulia DV IVEneo la shule ?
Hata kama ingekuwa ni Uwanjani as long as ni eneo la shule, siku ya masomo na muda wa masomo, Hakika haikubaliki.
Maajabu haya yanatokea Tanzania tu Crashwise
Tutoe shaka za habari yako tupia hata picha 2/3 hasa ya shule, wanafunzi kugawa vinywaji na ya wajumbe kugombea mgao. Hapo hatutakua na shaka na habari hii.CCM leo wamefunga shule ya sekondari Msata ili watumie eneo la shule hiyo kwa ajili ya uteuzi wa mgombea ubunge, kwao elimu ya watoto sio muhimu lakini wameona ni muhimu kufanyia zoezi hilo kwenye eneo la shule.
wakati huohuo kuna ugomvi umetokea kwenye chumba cha mgahawa mmoja ambapo baadhi ya wajumbe walioletwa hapo kwa ajili ya chai walianza kurushiana maneno na baadae kushikana mashati kutokana na kupunjana pesa za mgao walizo pewa kama rushwa.
Updates
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Msata ndio wanaotumika kugawa vinywaji kwenye ukumbi huo. Wamevalia uniforms za shule.
Kwani hao chadema huwa wana ofisi kweli ?
Chama cha mapindunzi chalinze kimefanya kitendo cha ukandamizaji wa elimu kwa hali ya juu sana baada kumlazimisha mwalimu mkuu wa shule ya secondary msata kufunga shule siku ya leo ili kupisha chama hicho kufanya mkutano mkuu wa uchaguzi wa kura ya maoni ya kupata mgombea ubunge jimbo la chalenze,mbaya zaidi baadhi ya wanafunzi ndio wamekuwa wakiwaudumia hapo shuleni kwa maitaji ya mají na chakula,elimu yetu inadhalilishwa kwa kiwango hiki! Wagombea wa nafasi hiyo ni wanne Ridhiwan Kikwete, Imani Madega, Ramadhan Maneno Na Mwanamama Mkwazu.wadau wa elimu
Mara nyingi CCM wamekuwa wakijibu hoja makini kwa kejeli na mzaha. Ebu angalia hiyo hapo juu.umbea mtupu. Baada ya kuanzisha viwanda vya kutengeneza gongo, sasa chadema wana viwanda vya kutengeneza porojo