GEMBESON
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,444
- 3,084
Jana kupitia taarifa ya habari ya ITV, Mhe. Godbless lema alimpokea rasmi CDM diwani aliyesepa CCM huko Mwanza, Pia alichukua nafasi hiyo kumtahadhalisha mkuu wa mkoa wa Arusha na wakubwa wengine waache vitisho kwa kina Millya na wana ccm wanaohamia CDM. Alitoa mkwara kuwa kama CCM ina polisi basi CDM ina Peopless!
Mytake: Walituambia walikuwa mzigo Kumbe bado wanawahitaji?
Mytake: Walituambia walikuwa mzigo Kumbe bado wanawahitaji?