n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Kilumbe Ng'enda amevuliwa Ukatibu wa Mkoa wa Dar es Salaam (CCM) kwa kosa la kutenda maamuzi binafsi kinyume na maamuzi ya vikao halali vya chama.
Taarifa tulizo nazo zinazidi kueleza kuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Dar naye yupo kwenye hatihati. Nyeti nyingine zinadai kuwa kutokana na EL kujaza watu wake Dodoma ili wafanye fujo basi huenda yeye na Chenge wakaachwa na maamuzi yakatolewa ghafla baada ya mkutano huko Dodoma.
Nape kasema nafasi hiyo imeondolewa mikononi mwa Ng'enda na atapangiwa nafasi nyingine (wanaendelea kubebana???)
Taarifa tulizo nazo zinazidi kueleza kuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Dar naye yupo kwenye hatihati. Nyeti nyingine zinadai kuwa kutokana na EL kujaza watu wake Dodoma ili wafanye fujo basi huenda yeye na Chenge wakaachwa na maamuzi yakatolewa ghafla baada ya mkutano huko Dodoma.
Nape kasema nafasi hiyo imeondolewa mikononi mwa Ng'enda na atapangiwa nafasi nyingine (wanaendelea kubebana???)