Ccm waanza kununua wapinzani iramba magharibi

Ccm waanza kununua wapinzani iramba magharibi

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
8,098
Reaction score
10,937
Katika hatua ambayo inadhihirisha kuanza kuelemewa na CHADEMA ,CCM wameanza kuwanunua wapinzani ili kuwaadhoofisha CHdema.Katiaka mkakati wao mchafu CCM kUPITIA kwa Mwenyekiti halmashauri ya Wilaya ya Iramba Bw,Justine Makala Diwani ,Kinampanda,wamemrubuni Katibu wa CHADEMA kINAMPNDA ,nA KUHAMIA CCM na tayri amepewa kugombea uenyekiti wa kijiji cha Kinampnda kupitia CCM! Hata hivyo hatua hii haikuwashtua makamnda na tayari nafasi hiyo imezibwa ,Baada ya kumchagua Bw.Mkelemi Kigendi kushika nafasi hiyo.Kigendi ambaye ana shahada ya UCHUMI NA MAENDELEO YA JAMII ,wameapa kuwabwaga CCM !Ikumbukwe kuwa Kinampanda ni eneo muimu sna kwa Siasa za Jimbo hilo! Hata hivyo kuna wasiwasi kuwa uongozi wa mkoa na Wilaya hawajajenga mkakati imara wa kuimarisha CHADEMA katika maeneo ambayo bado kuna wanachama ambao wanahamasa lakini wanakosa support !
 
kamanda umesomeka ngoja nimalize kusoma hii

SAKATA LA MENO YA TEMBO/PEMBE ZA NDOVU
NA SERIKALI YETU.
Kwamba tembo wamepungua ndani ya miaka 7
iliyopita kutoka 140,000 hadi 50,000 na kidogo –
Hilo halina ubishi.
Kwamba China ni mnunuzi mkubwa wa meno ya
tembo/pembe za ndovu duniani kuliko nchi yo yote
– Hilo nalo halina ubishi.
Kwamba Meli ya Kinana ilikamatwa huko China
ikisafirisha nyara hizi hizi za serikali kutoka
Tanzania kuigia China na ni nyara hizi hizi
tunazojadili – Hilo halihojiki sawia.
Kwamba Katibu mkuu wa ccm, ndugu kinana
aliwahi kukiri hadharani kuwa Meli yake ilikamatwa
China ikiwa na nyara za serikali ila nyara hizo
alikana kuwa siyo zake na kwamba mpka leo
hajatuambia aliyekodisha meli yake iliyokamatwa
na nyara zetu zilizotakana na kazi ya majangili
kwenye mbuga zetu – Huo ni ukweli uliowazi
uliojadiliwa hadi Bungeni- Hauhojiki.
Kwamba Shirika la kimarekani la Enviroment
Investigation Agency (EIA) lilianzishwa miaka mingi
na lina uzoefu wa kutosha kwenye sekta hii na
haina tuhuma ya kutunga habari za uwongo kabla
ya taarifa kuhusu Tanzania –Hilo nalo jambo la
kuzingatiwa.
kwamba tukio la kiharamia la namna hii liliwahi
kutokea huko nyuma jibu ni ndiyo. Ndege ya kutoka
uarabuni iliwabeba twiga na wanyama wengine
wakiwa hai. Tukio liliwashirikisha vigogo wakubwa
serikalini. Tukio hili linanifanya nisishangae taarifa
ya EIA. Sakata hilo nalo halina mjadala.
Kwamba Rais wa China alikuja Tanzania na
kusaini mikataba 19 ambayo wananchi
haturuhusiwi kuyaona na kwa hiyo mikataba hiyo
ni siri ya Rais, mawaziri na usalama wa Taifa
ambao ndo hao hao wanaotuhumiwa na ripoti ya
EIA kuwa walishirikiana na maafisa usalalama wa
China kwenye kashafa hii – Hilo nalo halina
chembe ya Mashaka.
Kwamba, Wakati Rais wa China wakati
aliopoondoka nchi kwetu na timu yake, ndege yake
iliondoka na meno ya tembo. – Hapa ndo mahali
pekee China na Tanzania wanakuja juu –
wanataka ushahidi – waituhumu EIA. Wakati
wanaituhumu EIA wanasahau kuwa
wafanyabiashara wa Mwenge Tanzania walizwa na
wakaeleza taarifa kwa kinaga ubaga.
Hata hivyo, mimi naomba Membe, Nyalandu na
wengineo waende mbele Zaidi, watuambie,
Je, Tembo karibu laki moja wamepungua ndani ya
miaka 7 iliyopita? China ni mnununizi wa meno ya
tembo namba 1 duniani? Je, ni kweli kuwa Meli ya
kinana ilihusika kuiba nyara zetu zilizotokana
ujangili ikakamatwa China? Je, EIA ina historia
gani na iliwahi kutunga uwongo au ndo imeanzia
Tanzania? Mikataba 19 ya siri aliyosaini rais wa
China ilihusi nini? Na je kuna mkataba wo wote
unaohusu uwindaji kwenye mbuga zetu? Mwisho
mnawachukuliaje wafanyabiashara wa mwenge
waliokaririwa?
Haya ni maswali marahisi yatakayotusaidia sisi
wasikilizaji kujua ukweli, vinginevyo, membe na
Nyalandu sisi watu wazima hatudanganyiki.
Nawasilisha
 
suala hilo la kuwadanganya watz kwa kuwanunua makamanda wa cdm si jambo jema ,japo kamanda wa kweli hanunuliki hakika.so huyo atakuwa ni mchumia tumbo.kimsingi wananch wa kinampanda mnayo fursa ya kuweka watu wenye upeo mkubwa ktk masuala ya maendeleo.tarafa gani isiyokuwa na soko,kituo cha afya,tatizo la maji,chukuwa hatua.
 
Katika hatua ambayo inadhihirisha kuanza kuelemewa na CHADEMA ,CCM wameanza kuwanunua wapinzani ili kuwaadhoofisha CHdema.Katiaka mkakati wao mchafu CCM kUPITIA kwa Mwenyekiti halmashauri ya Wilaya ya Iramba Bw,Justine Makala Diwani ,Kinampanda,wamemrubuni Katibu wa CHADEMA kINAMPNDA ,nA KUHAMIA CCM na tayri amepewa kugombea uenyekiti wa kijiji cha Kinampnda kupitia CCM! Hata hivyo hatua hii haikuwashtua makamnda na tayari nafasi hiyo imezibwa ,Baada ya kumchagua Bw.Mkelemi Kigendi kushika nafasi hiyo.Kigendi ambaye ana shahada ya UCHUMI NA MAENDELEO YA JAMII ,wameapa kuwabwaga CCM !Ikumbukwe kuwa Kinampanda ni eneo muimu sna kwa Siasa za Jimbo hilo! Hata hivyo kuna wasiwasi kuwa uongozi wa mkoa na Wilaya hawajajenga mkakati imara wa kuimarisha CHADEMA katika maeneo ambayo bado kuna wanachama ambao wanahamasa lakini wanakosa support !

Tuna quote slogan ya mzee wa UPAKO, ........
 
Back
Top Bottom