omarilyas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2007
- 2,130
- 145
Wewe ni mtetezi na shabiki wa Kikwete na chama lake la mafisadi. hii sio siri Omar. The "she" unayemuongelea hapo ni mama Salma Kikwete? Bwa ha ha ha ... huu ni ushauri toka kwa mwanaccm!.... Umeanza lini kuwatakia wema wapinzani?
Well, all the best.....I have life apart from JF romances...