Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,708
- 4,577
Usiwasemee "watanzania" wasemee machadema menzio.Usiite watu ng'ombe kwani inaonekana ng'ombe anaweza kuwa na akili kuliko wewe. Watanzania sio wajinga kiasi unachofikiri. Umeulizwa uelezee mfano wa hali mbaya ya usalama polisi wanayotumia kuzuia mikutano lakini badala ya kujibu unatukana. YOU ARE GHOST RIDDEN!