Kuna Muhuni mmoja mmiliki wa Madanguro kadhaa hapa mjini alipewa Uenyekiti wa chma na Mkwewe akanyofoa vipengele cha ukomo wa Uongozi sasa angepewa ukuu wa Nchi sijui kama asingenyofoa pia kipengele cha ukomo wa Uongozi.
CCM ndio chama Kikongwe zaidi kukaa Madarakani na kupitia changamoto kadhaa bila ya kupasuka Afrika Nzima kutokana na hekma na busara za viongozi wake.