LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 516
Usaliti ni tabia ambayo ukishaianza huwezi kuicha.
Hii husababishwa na tamaa ambayo hufunika kabisa uwezo wa mtu kufikiria, kujali utu na heshima aliyo nayo kwenye jamii.
CHADEMA inafukuza watu wengi ambao wanaonekana ni wasiliti kwa vyama vyao. Hata kama CCM itawapokea, naomba tusiwaamini hawa watu kwani kwa tabia zao, lazima watarudia kitu kile kile pale dau liatakaponda juu. Watu wa namna hii wanaweza kuuza nchi kwa tamaa zao binafsi. Watu wa namna hii ni hatari sana si kwa Chama tu bali hata kwa Taifa. Tuwe makini na masalia ya CDM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Mungu ibariki Tanzania.
Hii husababishwa na tamaa ambayo hufunika kabisa uwezo wa mtu kufikiria, kujali utu na heshima aliyo nayo kwenye jamii.
CHADEMA inafukuza watu wengi ambao wanaonekana ni wasiliti kwa vyama vyao. Hata kama CCM itawapokea, naomba tusiwaamini hawa watu kwani kwa tabia zao, lazima watarudia kitu kile kile pale dau liatakaponda juu. Watu wa namna hii wanaweza kuuza nchi kwa tamaa zao binafsi. Watu wa namna hii ni hatari sana si kwa Chama tu bali hata kwa Taifa. Tuwe makini na masalia ya CDM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Mungu ibariki Tanzania.