onetheincredible
Member
- Jun 18, 2015
- 47
- 7
Natangaza kwa wajumbe wa chama cha mapinduzi kua kadi za CHADEMA na CUF bado zipo nyingi kwa anayehitaji kujiunga na UKAWA tunamkaribisha sana kwa mikono miwili na sio Wajumbe tu bali hata Wanachama wa CCM nao tunawakaribisha Santana .
CCM muda wao umekwisha zaid wanaleta dereva mpya wakati gari bado bovu, wananchi msibweteke eti kasimamishwa mzee wa data, data za construction hazita kuwepo Ikulu, Tunawakaribisha sana UKAWA Kwamaana ndio ukombozi wa mwananchi .
NB; PEOPLE 'S...
CCM muda wao umekwisha zaid wanaleta dereva mpya wakati gari bado bovu, wananchi msibweteke eti kasimamishwa mzee wa data, data za construction hazita kuwepo Ikulu, Tunawakaribisha sana UKAWA Kwamaana ndio ukombozi wa mwananchi .
NB; PEOPLE 'S...