CCM Tunajipanga kwa Mapambano 2015

MAFILILI

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
2,377
1,194
Taarifa kwa WanaJF mlizoea kusema vibaya dhidi ya CCM wakati huo mkiwapa misifa CDM;

CCM kama chama mama nchini mwetu tunaendesha mambo yetu kisayansi kwa kukaa chini na kutafakari kupitia vikao vya ndani ambavyo havihitaji kuandikwa kwenye magazeti. Ikumbukwe huu ni mwaka wa uchaguzi ndani ya chama ikiwa lengo kuu la uchaguzi ni kuwachuja makapi na kupanga timu ya USHINDI kuelekea 2015.

Wapenzi na wakereketwa wa CCM mkae mkao wa KULA PWEZA ili kucharge nguvu, tupate mvurumisha CDM na vyama vyote vya upinzani.

Msije kuumiza vichwa kutokana na ziara zisizo na tija zinazofanywa na askari uchwara wa CDM huku mikoani, hizo ziara zimepangwa kwa nia ya kuboresha mifuko ya viongozi wao kwa kulipana posho tu. Hizo mbinu za kufungua matawi papo kwa hapo pasipo uchambuzi yakinifu zimepitwa na wakati. Haingii akilini leo hii kwenda kijijini Mtwara kumuuzia mwanakijiji sera ya chama na siku hiyohiyo kufungua tawi!!!!!!!

Kidumu chama cha mapinduzi na sera zake za kuwapa nuru watanzania.
 
lini vikao vyenu vikaleta vitu vigeni vyenye tija?hamna lolote
 
Ugonjwa uliowapata, hamfiki 2015. Kama inawezekana, mpambane sasa hivi mkingali na damu kidogo.
 
Sikio la kufa,halisikii dawa!


Wakatafute KANU ya jirani zetu Nchini Kenya iko wapi!
 
Wananchi wameanza kurudisha imani kutokana na:

1. Kuwatosa mawaziri ambao ni wakala wa ufisadi
2. Iddi Simba kapelekwa Kisutu

Pia tunafanya mchakato wa watoa siri nyeti ndani ya serikali na wakala wote wa CDM tunapiga chini
 
Mngemwondoa Chatanda kwenye safu za Uongozi wenu. Mlichelewa sana kumwondoa Makamba na akaacha chama hoi kabisa.

Ndiye aliyeanzisha dhuluma ya wazi Arusha, wananchi wakaona wakakikataa chama, na mmezubaa bila kuchukua hatua moto umekuwa mkali wa M4C kiasi kwamba hausogeleki licha ya kuzimika.

Kiburi na kutosikiliza wananchi wa kawaida kimechimba kaburi lenu. Poleni sana, we are moving ahead.

Wana Historia mtamrekodi huyu mama mtakapokuwa mkizungumzia "the beginning of the end of CCM"
 
Taarifa kwa WanaJF mlizoea kusema vibaya dhidi ya CCM wakati huo mkiwapa misifa CDM;

CCM kama chama mama nchini mwetu tunaendesha mambo yetu kisayansi kwa kukaa chini na kutafakari kupitia vikao vya ndani ambavyo havihitaji kuandikwa kwenye magazeti. Ikumbukwe huu ni mwaka wa uchaguzi ndani ya chama ikiwa lengo kuu la uchaguzi ni kuwachuja makapi na kupanga timu ya USHINDI kuelekea 2015.

Wapenzi na wakereketwa wa CCM mkae mkao wa KULA PWEZA ili kucharge nguvu, tupate mvurumisha CDM na vyama vyote vya upinzani.

Msije kuumiza vichwa kutokana na ziara zisizo na tija zinazofanywa na askari uchwara wa CDM huku mikoani, hizo ziara zimepangwa kwa nia ya kuboresha mifuko ya viongozi wao kwa kulipana posho tu. Hizo mbinu za kufungua matawi papo kwa hapo pasipo uchambuzi yakinifu zimepitwa na wakati. Haingii akilini leo hii kwenda kijijini Mtwara kumuuzia mwanakijiji sera ya chama na siku hiyohiyo kufungua tawi!!!!!!!

Kidumu chama cha mapinduzi na sera zake za kuwapa nuru watanzania.


Sasa mbona umeanza kuyaanika hapa jamvini ? Na kwa nini mumeahirisha uchukuaji na urejeshaji wa form kwa wagombea ngazi mbali mbali kwenye chama lenu mfu?Mtahangaika sana lakini safari hii hamtoki, mumewadangaya watu wengi kwa muda mrefu lakini sasa hamuwezi kuendelea kuwaongopea tena, kiama chenu kimefika.
 
Sasa mbona umeanza kuyaanika hapa jamvini ? Na kwa nini mumeahirisha uchukuaji na urejeshaji wa form kwa wagombea ngazi mbali mbali kwenye chama lenu mfu?Mtahangaika sana lakini safari hii hamtoki, mumewadangaya watu wengi kwa muda mrefu lakini sasa hamuwezi kuendelea kuwaongopea tena, kiama chenu kimefika.

Kuahirisha uchukuaji wa fomu na urejeshaji ni sehemu ya mkakati wa kujipanga upya. CCM ni jabari lina mbinu nyingi za kujihami na kujiokoa toka katika lindi la changamoto. Ni kweli tupo katika kipindi kigumu ambacho BUSARA na UZOEFU wa mapambano unatusaidia kukwepa dhoruba za CDM hatahivyo mwisho tutashinda
 
teh!,teh!,teh!....mkubwa!..CCM ni sehemu ya vichaa waliwekwa sehemu moja ambao madaktari bingwa wa vichaa wamekata tamaa kabisa ya kuwaponya.
Cha ajabu zaidi ni vichaa haohao wanao panga mkakati wa jinsi gani watapona,hapo unategemea nini kama si kila mtu kuanza kupayuja hovyohovyo.na kama ni sir wewe MAFILI kulikon hutuabalishe hapa?
 
Kuahirisha uchukuaji wa fomu na urejeshaji ni sehemu ya mkakati wa kujipanga upya. CCM ni jabari lina mbinu nyingi za kujihami na kujiokoa toka katika lindi la changamoto. Ni kweli tupo katika kipindi kigumu ambacho BUSARA na UZOEFU wa mapambano unatusaidia kukwepa dhoruba za CDM hatahivyo mwisho tutashinda

Hapo kweye red kumbe wakati mwingine pamoja na unafiki wako huwa unakuwa mkweli , dada yangu dhoruba hii ni kali lazima jahazi lenu litazama, hii tufani si ya kupona mtu.
 
Kuahirisha uchukuaji wa fomu na urejeshaji ni sehemu ya mkakati wa kujipanga upya. CCM ni jabari lina mbinu nyingi za kujihami na kujiokoa toka katika lindi la changamoto. Ni kweli tupo katika kipindi kigumu ambacho BUSARA na UZOEFU wa mapambano unatusaidia kukwepa dhoruba za CDM hatahivyo mwisho tutashinda

Nadhani katika vibaraka wa Nape wewe utakuwa unalipwa vizuri sana, unajitahidi sana kukitetea chama chako.
 
Tangu lini mazoezi ya kujiandaa kwa Mechi ngumu yakafanywa siku ya Mechi yenyewe kama siyo uendawazimu na kujidhalilisha? Mmechoka mnaogopa tu kusema "We surrender "
 
Wananchi wameanza kurudisha imani kutokana na:

1. Kuwatosa mawaziri ambao ni wakala wa ufisadi
2. Iddi Simba kapelekwa Kisutu

Pia tunafanya mchakato wa watoa siri nyeti ndani ya serikali na wakala wote wa CDM tunapiga chini

Angalia msije mkapiga chini watumishi wooote Serikalini, maana hawa watu wengi ni watu wenye akili timamu, na ni vigumu sana kumpata mtu mwenye akili timamu akiisapoti CCM.
 
Taarifa kwa WanaJF mlizoea kusema vibaya dhidi ya CCM wakati huo mkiwapa misifa CDM;

CCM kama chama mama nchini mwetu tunaendesha mambo yetu kisayansi kwa kukaa chini na kutafakari kupitia vikao vya ndani ambavyo havihitaji kuandikwa kwenye magazeti. Ikumbukwe huu ni mwaka wa uchaguzi ndani ya chama ikiwa lengo kuu la uchaguzi ni kuwachuja makapi na kupanga timu ya USHINDI kuelekea 2015.

Wapenzi na wakereketwa wa CCM mkae mkao wa KULA PWEZA ili kucharge nguvu, tupate mvurumisha CDM na vyama vyote vya upinzani.

Msije kuumiza vichwa kutokana na ziara zisizo na tija zinazofanywa na askari uchwara wa CDM huku mikoani, hizo ziara zimepangwa kwa nia ya kuboresha mifuko ya viongozi wao kwa kulipana posho tu. Hizo mbinu za kufungua matawi papo kwa hapo pasipo uchambuzi yakinifu zimepitwa na wakati. Haingii akilini leo hii kwenda kijijini Mtwara kumuuzia mwanakijiji sera ya chama na siku hiyohiyo kufungua tawi!!!!!!!

Kidumu chama cha mapinduzi na sera zake za kuwapa nuru watanzania.


walisemaga mtwara chadema no see? msiwe na hofu. chadema ndo sisi na sisi ndo chadema.

2015 tunawajambisha.

kimoko tu.
 
Mafilili wasiwasi wako unaleta picha halisi ya kihoro kilichopo huko magamba!

Hii M4C, Haina huruma!
 
nadhani mwaka huu so kanga kofia na tishirt na nauli za mikutani,inabidi mgawie wanchi bajaji na powatila,mwendo ni uleule,maana kujipanga kwenu huko duh,inahitaji mawe ya kutosha,na hivi rozitamu mmemvua mkidai ni gamba,loussa nae kakaa pembeni,serikali nayo haina pesa,sijui miundo mbinu ya vijisenti itakuwaje,maana mafisadi wengine ni wagumu kutoa balaa,wengine ndo ivo walishasusia chama,.
 
akilini imemuingia ndo maana akabwatuka yakiyomo kichwani mwake.
Sasa mbona umeanza kuyaanika hapa jamvini ? Na kwa nini mumeahirisha uchukuaji na urejeshaji wa form kwa wagombea ngazi mbali mbali kwenye chama lenu mfu?Mtahangaika sana lakini safari hii hamtoki, mumewadangaya watu wengi kwa muda mrefu lakini sasa hamuwezi kuendelea kuwaongopea tena, kiama chenu kimefika.
 
Taarifa kwa WanaJF mlizoea kusema vibaya dhidi ya CCM wakati huo mkiwapa misifa CDM;

CCM kama chama mama nchini mwetu tunaendesha mambo yetu kisayansi kwa kukaa chini na kutafakari kupitia vikao vya ndani ambavyo havihitaji kuandikwa kwenye magazeti. Ikumbukwe huu ni mwaka wa uchaguzi ndani ya chama ikiwa lengo kuu la uchaguzi ni kuwachuja makapi na kupanga timu ya USHINDI kuelekea 2015.

Wapenzi na wakereketwa wa CCM mkae mkao wa KULA PWEZA ili kucharge nguvu, tupate mvurumisha CDM na vyama vyote vya upinzani.

Msije kuumiza vichwa kutokana na ziara zisizo na tija zinazofanywa na askari uchwara wa CDM huku mikoani, hizo ziara zimepangwa kwa nia ya kuboresha mifuko ya viongozi wao kwa kulipana posho tu. Hizo mbinu za kufungua matawi papo kwa hapo pasipo uchambuzi yakinifu zimepitwa na wakati. Haingii akilini leo hii kwenda kijijini Mtwara kumuuzia mwanakijiji sera ya chama na siku hiyohiyo kufungua tawi!!!!!!!

Kidumu chama cha mapinduzi na sera zake za kuwapa nuru watanzania.

Kumbe hamjala pweza siku nyingi ndo maana sasa hivi hamna nguvu tena? Haya bwana kuleni pweza wenu then mje kuibaka demokrasia ila hatuta kubali. Magamba noma, hadi mnamtegemea pweza? RIP.
 
Back
Top Bottom