CCM tumuombe msamaha Kafulila, Tumeaibika!!!

CCM tumuombe msamaha Kafulila, Tumeaibika!!!

Duh huyu mama kaongea ukweli kabisa hao hao wanaoshabikia Rais kushughulikia suala hili ndio hao hao walioutifikisha hapa tulipo afu wanahodhi mjadala kuwa wa SERIKALI YA CCM!!!!

Ila ataitwa mpiga dili na kibaraka wa ACACIA...... kwa aina hii ya uchangiaji na yeye asubiri "kushughulikiwa ndani ya bunge"
 
Wanajua wao. Ila kama walimfanyia uovu lazima utawarudia.
Kafulila angebaki NCCR angalau tungemshauri magufuli amfikilie lakini kutendo cha yeye akijifanya mpinga ufisadi kunadiwa kwenye kampeni Na lowasa imemuua kisiasa
 
Nchi hii dah!!! Mungu tusaidie. Kumuonea Kafulila walipiga makofi; mama anasema wamuombe msamaha wanapiga makofi ahahahahaaaaaa. Semeni Ndiyoooooo; yote Ndiyoooooo
 
Kafulila angebaki NCCR angalau tungemshauri magufuli amfikilie lakini kutendo cha yeye akijifanya mpinga ufisadi kunadiwa kwenye kampeni Na lowasa imemuua kisiasa
Una maoni gani juu ya kauli ya huyu mama?Sio msaliti kweli
 
Kafulila angebaki NCCR angalau tungemshauri magufuli amfikilie lakini kutendo cha yeye akijifanya mpinga ufisadi kunadiwa kwenye kampeni Na lowasa imemuua kisiasa
Mtamuomba msamaha?
 
Back
Top Bottom